source ya habari iko wapi?/
Mkuu molembe nakuunga mkono! Coz nakumbuka TCU walisema this year wananafas elf 50 za kudahili wanafunz wa mwaka wa masomo 2013/2014 ((form 6 fresh frm school,diploma holders, na waliomalza 2012 kushuka chini)) ! ambapo first wenye sifa tupo kama elf 31 achana na dv3 ambazo hazina principle(i.e E S S)! Ktkana maelezo ya HESLB ;source gazet la habar leo, wanasema first time loan applicant tupo elf 54!! Swal langu je unaruhusiwa kupata mkopo hata kama chuo unachotaka kusoma hakidahiliwi na TCU?
Sidhani kama kuna mtu aliomba mkopo bila kupata matokeo yake,kwangu mimi naona isije kuwa wanataka kupiga deal kupitia wanafunzi hewa wanaonufaika na mkopo watoto wa masikini wakanyimwa.
Mkuu molembe nakuunga mkono! Coz nakumbuka TCU walisema this year wananafas elf 50 za kudahili wanafunz wa mwaka wa masomo 2013/2014 ((form 6 fresh frm school,diploma holders, na waliomalza 2012 kushuka chini)) ! ambapo first wenye sifa tupo kama elf 31 achana na dv3 ambazo hazina principle(i.e E S S)! Ktkana maelezo ya HESLB ;source gazet la habar leo, wanasema first time loan applicant tupo elf 54!! Swal langu je unaruhusiwa kupata mkopo hata kama chuo unachotaka kusoma hakidahiliwi na TCU?