Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 667
- 338
Takwimu kutoka kamisheni ya haki za binadamu Tanzania inaonesha kuwa kati ya watu 2,478 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kufikia mwaka 2010, ni watu 232 waliotekelezewa hukumu hiyo ambayo ni sawa na 9.39%.
Sehemu kubwa ya watu hao walinyongwa awamu ya kwanza ya rais Nyerere na hii ilitokana na mazingira ya wakati huo kiutawala ambayo wakati mwingine yalilazimu maamuzi hayo ili mambo yenye maslahi mapana ya nchi yaende!
Sehemu kubwa ya watu hao walinyongwa awamu ya kwanza ya rais Nyerere na hii ilitokana na mazingira ya wakati huo kiutawala ambayo wakati mwingine yalilazimu maamuzi hayo ili mambo yenye maslahi mapana ya nchi yaende!