Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 667
- 338
Inasemekana kwamba tangu uhuru aliyenyongwa ni Mwamwindi pekee, (aliye mpiga risasi dk.klerruu),wengine mwl.pamoja na marais waliomfuata kamwe hawakutia saini,matokeo yake hupelekwa ktk gereza maalum na hujifia kifo cha kawaida,maradhi au uzee.
nadhani ni pamoja nazo hasa kwenye issue ya uhaini!!