Idadi ya Watanzania wanaoenda Kenya yapungua kwa kasi....tatizo nini?

jaribuni figisu muone tutawafanya nn wenzenu huku Tanzania!
 
Kama ulitaka kuja Kenya bali hukuja sasa ulipatana wapi na daladala ya Mkenya?
 
Using one incident to generalize a whole country is stupid. Your story does not even add up. Emali to Nairobi ama Mombasa haupati daladala za mkato,pili hiyo sehemu siyo ya wakikuyu ama wajaluo..

Stupid Tz propagandist. Watu wa NKOREA hawa
 
omba omba ndio wamejaa kote na vikombe vyao tutawasaidia..wengine wabaki kwao...we don't want lazy ldc brains in Kenya...tanzanians wavivu number one..
Wakenya kwa Wakenya hamsaidiani, mnasema kila mtu anajali mambo yake binafsi! Kweli mnaweza kusaidia WaTz? Hata hivyo Wakenya hamna uwezo wa kumsaidia Mtanzania kwani hamna kitu ambacho Wakenya mncho na sisi Watamzania hatuna. Sasa msaada wa nini!?
 
Wakenya kwa Wakenya hamsaidiani, mnasema kila mtu anajali mambo yake binafsi! Kweli mnaweza kusaidia WaTz? Hata hivyo Wakenya hamna uwezo wa kumsaidia Mtanzania kwani hamna kitu ambacho Wakenya mncho na sisi Watamzania hatuna. Sasa msaada wa nini!?
Uliza ombaomba Watz waliojaa mijini Kenya.
 
On top of that, goods from Kenya are of normal quality as those we manufacture in our country, but Kenyans won the battle of market due to their quality of package.
 
Sasa tuende Kenya kufanya nini when we have the best attractions here? Kenya has nothing important compared to Tanzania, that's a fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…