Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm buana wanahangaika sana na demokrasia ktk vyama vingine ili hali uenyekiti wa chama chao wanapeana.CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.
TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.
Mwenye macho aambiwi tazama
[emoji106] [emoji106]CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.
TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.
Mwenye macho aambiwi tazama
Tatizo wengine ni watoto na hawafwatilii na hawasomi historia wanadanganyana vijiweni hawajui, wanaambiwa Mbowe ndiyo mwenyekiti pekee CHADEMA wanakubari na kuja kuandika upuuzi humu[emoji106] [emoji106]
Kumbe chadema sawa na ccm. Ksahiyo haina haja ya kuikemea ccm kwa kuwa wote ni sawa...CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.
TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.
Mwenye macho aambiwi tazama