Idadi ya wenyeviti taifa wa CHADEMA na CCM

Idadi ya wenyeviti taifa wa CHADEMA na CCM

Hii imekaa vizuri sana, CCM waje hapa wakanushe kwani wao ndiyo wanajiita watu wa demokrasia, Jambo dogo nataka kuuliza je hao wenyeviti wanne wa ccm walishapata upinzani wakati wakuchaguliwa kwao? kama ndiyo tunaomba majina yao ili tuweke kumbukumbu zetu sawa

 
Wrong comparison! Tusichokitaka CCM ndicho tusichokitaka kifanyike CHADEMA. Namwamini mwanasiasa aliyekufa tu.
 
Easymutant weka fact sio kulalamika
 
CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.

TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.

Mwenye macho aambiwi tazama
ccm buana wanahangaika sana na demokrasia ktk vyama vingine ili hali uenyekiti wa chama chao wanapeana.
 
CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.

TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.

Mwenye macho aambiwi tazama
[emoji106] [emoji106]
 
Ukitaka ufukuzwe na uitwe msaliti chadema,tangaza nia ya kugombea uenyekiti
 
CHADEMA kuanzia 1992 hadi Leo imekuwa na wenyeviti watatu takribani miaka 22 ambao ni Mtei,Makani na sasa Mbowe.

TANU/CCM kuanzia 1954 hadi Leo imekuwa na wenyeviti 4 takribani miaka 60 amabao ni Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete.

Mwenye macho aambiwi tazama
Kumbe chadema sawa na ccm. Ksahiyo haina haja ya kuikemea ccm kwa kuwa wote ni sawa...
Maana ninavyojuwa mimi ni kuwa kama wewe unahubiri amani basi lazima uonekane kuitenda amani. Na kama unahubiri democrasia basi unatakiwa tuione democrasia kwa macho yetu na sio kutuhubiria wakati tukikuangalia hauna democrasia yoyote...
Sasa leo chadema unajifananisha na ccm?
Duuuuuh aisee, hali sasa ishakuwa ngumu ndani ya upinzani...
 
Back
Top Bottom