Idara ya simba nayo imekufa, team imeishiwa.

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu

Hii team ya walevi na wanywa wanzuki yaani inatia huruma

Mitandaoni mashabiki hawana Furaha kabisa yaani kila post admin atakayotoa basi wanampopoa tu jamani ..!


Kilichobaki ni admin kuigeuza page imekuwa ya kuwish watu happy birthday tu ...

Yaani simba ya kumuwish Happy birthday yusuph mlipili?

Wakati walikuwa wanampiga benchi?

Kwa kweli tukiita team ya walevi na wahuni tutakosea?

Nawasihi azam muwaonee huruma hawa ndugu angalau muwaachie hilo kombe la muungano angalau wananyanyue kwapa nao maana hali yao inatia simanzi!

 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-22-21-44-06~2.jpg
    112.4 KB · Views: 2
Simba iko mikononi mwa viongozi ambao ni kama walipanga kuididimiza angalia wachezaji tegemeo wa yanga simba ndio ilikuwa ya kwanza kutaka kuwasajili kilichotokea ni kama wao ndio kilikuwa kizingiti hadi kuhakikisha hawaji simba badala yake wakasajili wachezaji vituko.Je ni kweli Mo kashindwa kudhibiti huu uhuni?nasita kukuamini..
 
Kwanini mo mwenyewe asifanikishe kuleta wachezaji na kuwasaini mwenyewe?
 
Mambo yakujitakia timu haijulikani structure ya uongozi, mashabiki hatujui tumushike uchawi nani kati ya Mo, Try again au Mangungu
Ulienda uwanjani juzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…