Idara ya Uhamiaji kuwa Jeshi la Uhamiaji

Kumbe? Vp mkiwapiga mpunga hawapokei??
 
Nilijitahidi kubadilisha kila idara kuwa jeshi lakini wapi bado nikapinduliwa,[emoji3]
 
Nakumbuka msomali katoa passport ina picha ya mwanamke alafu anasema yule ni yeye ile picha ya mwaka jana, alafu akanigeukia akasema oria huyu si mimi huyu?

Hahahahaaa!!
 
Wapi Mamady Dombouya?
Wapi Alpha Conde?
Jeshi! jeshi! jeshi!

CCM ipo siku yatawatokeeni puani mjute!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…