Kuna wahindi wengi sana ambao ni wahamiaji haramu ambao wako hapa nchini.... na Asilimia kubwa wako kwenye viwanda na makampuni ya wahindi. Pindi mnapokuja kuwa kagua wengine hujificha hadi kwenye stores.. mkiondoka tu wao back to work na niwengi balaa. Nashauri msiwe mnatoa taarifa mnapokuja nakama huwa hamtoi taarifa basi mbadilishe mbinu.
Tutajie unaowajua tuwashughulikie
Hapa ndo huwachoka watz. Unaona mharifu kajificha stoo, unatulia unaleta udaku jf? Si wataje ili washughulikiwe!
Mkuu, uhamiaji sio waganga wa kienyeji....watajuaje kuna watu stoo bila kuwasaidia? Hili siliafiki.Mkuu umemshambulia bure mleta mada, amemaliza kila kitu.