Idc-infection diseases centre

Idc-infection diseases centre

Redrose20

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
213
Reaction score
35
Wadau ni kituo kinachotoa huduma rafiki kwa vijana haswa kuhusiana na magonjwa ya zinaa, afya ya uzazi, wa virus vya UKIMWI kwa hiari ulazimishwi na kupewa ushaur bure pia hiyo huduma ni BURE na matibabu pia,wapo between central polisi steshen km unaenda waterfront katikat kuna mabreakdown yanapak bc kwa mbele kdg ndo wapo..huduma ya vijana inaanza sa6-11jion na jumamos sa3-6.

Kujua afya yako ni muhim sana haswa kwa sis vijana ambao ni nguvu ya Taifa, karibuni sana!
 
Back
Top Bottom