Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Ndio ubora wa mwandishi kugusa hisia za wasomaji.ukisoma visa ya idi makengo utagundua 99% ni visa vya kutunga .
yaani anatengeneza mtiririko wa matukio bandia ili apate likes na comments akuze page yake
sasa kwenye comments unakutana na wanawake hata 2000. wanakoment kwa hisia kumbe ni hadithi za kutunga
HakikaSasa hiyo ndo maana ya literature..
HahahUkiwa storyteller Hadi mademu DM lazima upate
Idd malengo ni nani mkuuukisoma visa ya idi makengo utagundua 99% ni visa vya kutunga .
yaani anatengeneza mtiririko wa matukio bandia ili apate likes na comments akuze page yake
sasa kwenye comments unakutana na wanawake hata 2000. wanakoment kwa hisia kumbe ni hadithi za kutunga
Si ndio maana ya Fasihi, kwani Movie zote unazoangalia ni za kweli?ukisoma visa ya idi makengo utagundua 99% ni visa vya kutunga .
yaani anatengeneza mtiririko wa matukio bandia ili apate likes na comments akuze page yake
sasa kwenye comments unakutana na wanawake hata 2000. wanakoment kwa hisia kumbe ni hadithi za kutunga
Iddi Makengo ndo nani!? Unaandika kama vile kila mtu anamfahamu!!!ukisoma visa ya idi makengo utagundua 99% ni visa vya kutunga .
yaani anatengeneza mtiririko wa matukio bandia ili apate likes na comments akuze page yake
sasa kwenye comments unakutana na wanawake hata 2000. wanakoment kwa hisia kumbe ni hadithi za kutunga
Nilishawahi kuandika hii sehemu.ukisoma visa ya idi makengo utagundua 99% ni visa vya kutunga .
yaani anatengeneza mtiririko wa matukio bandia ili apate likes na comments akuze page yake
sasa kwenye comments unakutana na wanawake hata 2000. wanakoment kwa hisia kumbe ni hadithi za kutunga