Iddi, Simba wa Nyika Nguruma!

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Mhh, Iddi Simba, mzawa, mchacharikaji, muadilifu, msema kweli, mchapa kazi yu wapi shujaa huyu?
 
Mhh, Iddi Simba, mzawa, mchacharikaji, muadilifu, msema kweli, mchapa kazi yu wapi shujaa huyu?

Ndugu Wakala, nyoosha lugha...bila shaka amekuagiza kwamba anataka Jimbo la Ilala tena 2010!

Weka mambo hazarani Reverend, ya nini unafanya konakona?!
 
Iddi Simba alishaweka bayana 2005 kuwa yeye ubunge BASI anataka Urais na aligombea.

Kwa misimamo yake huwa harudi nyuma. Sasa hivi ameamua kupumzika nyumbani kwake mikocheni na hata ile kampuni yake INTERFINAS( International Finance Advisory servises) amemwachia kijana wake SAID anaendeleza yeye ni mwenyekiti tu na mtoa mada mbalimbali pindi akihitajika
 
Kuuliza si ujinga na wala hakunifanyi kuwa wakala. Hata kama nikiwa wakala, kinakuwashia nini? Mbna humpigii debe wa kwako?
 
Rev.Kishoka,

..nadhani Idi Simba alitolewa kafara wakati alikuwa akitekeleza maamuzi ya baraza la mawaziri.

..sijui kwanini wabunge walikuwa wanamuogopa Mkapa kiasi kile.

..mpaka leo siamini kwamba wabunge na press nzima walikuwa wanamwandama Sumaye kwa kukodisha shamba la eka 7 pale Kibaigwa, wakati Mkapa amekwapua mgodi wa Kiwira.
 
JokaKuu,

Ukiwauliza kwa nini walimtoa kafara, hawatakuwa na uwezo wa kukupa jibu.

Mambo mengi Tanzania yanafanyika Kisiasa mno badala ya kufanyika kiutendaji na kuwajibisha mtu kiutendaji. Gharama yake ni haya ya kuoneana haya ndani iya chama na kutoleana ghadhabu za uongo Bungeni!

Simba ni mtu mahiri sana, na tunamhitaji kwa maana yeye ameweka maslahi ya Mtanzania mbele.

Lakini si tulishamzushia eti yeye ni Mtutsi wa Rwanda au Burundi na kelele nyingine ikiwa ni kawaida ya kuchafuana ndani ya CCM?

Watu wanaacha kupima uwezo na utendaji kazi wa mtu, wanakimbilia majungu ya kisiasa ya kuogopa fulani akivuma na kuonekana anachapa kazi kwa bidii, basi atagombea urais na kuwanyima wengine fursa, hivyo watu huanza kuzibiana!
 
hakuna cha kafala wala nini,yeye mwenyewe alitoa vibali illegal vya sukari na hata kama alilazimishwa alikuwa na uwezo wa kukataa na kuacha kazi,na siasa zake za uzawa ni kuongeza matatizo tuu na hazina nafasi yeyote dunia ya leo!
 
Zaidi ya rhetoric za uzawa, smear ya rushwa ya sukari and the eventual surrendering, huyu bwana amefanya nini concrete?
 
Taratibu kaka, nothing is nothing.

Si wanasema kaanzisha vi financial movement?

Ukitaka kumchambua mtu usiache kuangalia his best work.

...financial movement in what sense? alianzisha tuu his own firm/company/fund kukamua profit au worked in policy/bill iliyo affect our financial industry (for the bettrer)? sijawahi kusikia zaidi ya vibali vyake sukari na uzawa nonsense politics!
 
John Mashaka wa Wall St. South πŸ™‚

...Mashaka kufanya kazi kwenye hizo financial firm za charlotte naona imekuwa issue,kuna investment banker kibao watanzania wamejaa new York,IB ni kazi nzuri lakini sio inakufanya uonekana a standout!
 
John Mashaka wa Wall St. South πŸ™‚

Lol...

...Mashaka kufanya kazi kwenye hizo financial firm za charlotte naona imekuwa issue,kuna investment banker kibao watanzania wamejaa new York,IB ni kazi nzuri lakini sio inakufanya uonekana a standout!

Kwani Mashaka ni Investment Banker au? Title yake hasa ni nini?
 
...Mashaka kufanya kazi kwenye hizo financial firm za charlotte naona imekuwa issue,kuna investment banker kibao watanzania wamejaa new York,IB ni kazi nzuri lakini sio inakufanya uonekana a standout!

I see you totally missed not only the boat, but also the entire monsoon season.

You may do well to familiarize yourself with the various forms of sarcasm, satire, slapstick etc.
 
...financial movement in what sense? alianzisha tuu his own firm/company/fund kukamua profit au worked in policy/bill iliyo affect our financial industry (for the bettrer)? sijawahi kusikia zaidi ya vibali vyake sukari na uzawa nonsense politics!


Koba,

Much about nothing, sema ni kitu gani alivurunda na ukiweke kwa hoja si single line!
 
naona mchungaji specifically IS BOUNCING THE GUYS BACK! ii wonder,why are you guys doing all these?
 
Mhh, Iddi Simba, mzawa, mchacharikaji, muadilifu, msema kweli, mchapa kazi yu wapi shujaa huyu?
watu kama hawa huwa hawapewi nafasi nchini kwetu na makundi yalioshika nchi kwani wanajua wazi wana lengo la kujenga nchi na sio kubomoa kama wao wanavyofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…