Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri lakini humo pembezoni mwa barabara lazima tu utagombana na halimashauri!!labda kama sio kwenye hifadhi ya barabara, ambacho ni kitu kigumu!!Wakuu nina idea ya kitengeza vibanda vya wamachinga na kuvipangisha. Vibanda hivyo ntaviweka pembezoni mwa barabara zote kubwa zilizopo mjini..kuanzia Shekilango, Sinza, Goba, mbezi n.k naomba kama kuna mwenye mchango wa mawaxo