[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Hakuna biashara ya hivi mkuu ataenda pm hasisahau mrejesho
Jamaa chopa moting amenipa madini aina ya fedha, haya madini kila nikiya minimize naona pesa tu ngoja kwanza nikayachimbe nitawaretea mrejesho wakuu [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Biashara inahitaji uzoefu tu kikubwa kupata connection ya wateja mtaji sio ishu sana ukianza na mtaji mdogo huo uliokuwa nao itakusaidia zaidiUnazungumzia mtaji wa kilimo mkuu
Mkuu cyo wabongo labda ufanye na kina kanjibayiWakuu kweli mtaji ni serious problem world wide.
Wadau hivi itakuwaje endapo vijana kama kumi mukaungana na kuamua kujitoa sadaka( risk taking) kwa pamoja na kuamua kila mmoja atoe 500,000/= ambapo itakuwa jumla 5,000,000/= then mujadili kuikeza kwenye kilimo kwa mazao yenye tija kwa sasa, siinaweza ikatosha kama mtaji, ikiwezekana mukipata profit munajipanua mpaka munamili mashamba ata sita ya kilimo kikubwa cha kisasa, ikiwezekana muendelee muwe hata kampuni au mumiliki compuni zenu.
Vijana serious kama hawa sijui nitawapata wapi watu wangu wa karibu wote viazi tu
Naandika nikiwa naangalia interview ya mtu mmoja hivi, ambaye alikuwa wa muhimu sana humu jamvini kutoa ushauri.[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
_kilimo & ufugajiMtu akikupa mtaji wa 10m utafanya nini kipindi hiki?
Kila siku naiota hiyo hela ninunue bajaji, inayobaki nifuge samaki. Nikopeshe mkuuMtu akikupa mtaji wa 10m utafanya nini kipindi hiki?
Mtu akikupa mtaji wa 10m utafanya nini kipindi hiki?
Tuiote pamoja mkuuKila siku naiota hiyo hela ninunue bajaji, inayobaki nifuge samaki. Nikopeshe mkuu
Angalia Usikute ni Network Marketing, madau yao yanaanzia Milioni tano... HahahahahaaIyo M5 kuipata ndio mbinde
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angalia Usikute ni Network Marketing, madau yao yanaanzia Milioni tano... Hahahahahaa
Kiongozi mimi ni mmoja wapo ninaetafuta watu wenye mawazo na tamaa za kujikwamua katika hali tuliyonayo , kama kweli umeamua tukutane tujue tunaanza vipi +255 653 231 798Wakuu kweli mtaji ni serious problem world wide.
Wadau hivi itakuwaje endapo vijana kama kumi mukaungana na kuamua kujitoa sadaka( risk taking) kwa pamoja na kuamua kila mmoja atoe 500,000/= ambapo itakuwa jumla 5,000,000/= then mujadili kuikeza kwenye kilimo kwa mazao yenye tija kwa sasa, siinaweza ikatosha kama mtaji, ikiwezekana mukipata profit munajipanua mpaka munamili mashamba ata sita ya kilimo kikubwa cha kisasa, ikiwezekana muendelee muwe hata kampuni au mumiliki compuni zenu.
Vijana serious kama hawa sijui nitawapata wapi watu wangu wa karibu wote viazi tu
Naandika nikiwa naangalia interview ya mtu mmoja hivi, ambaye alikuwa wa muhimu sana humu jamvini kutoa ushauri.[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Nitakucheki mkuuKiongozi mimi ni mmoja wapo ninaetafuta watu wenye mawazo na tamaa za kujikwamua katika hali tuliyonayo , kama kweli umeamua tukutane tujue tunaanza vipi +255 653 231 798
MUSA akiwa na wana wa Isaraeli aliulizwa na Mungu una nini MUSA?
MUSA akajibu nina fimbo, hivyo MUSA alikuwa na fimbo tu.
Ina tegemea una taka kufanya kilimo eneo gani... Hiyo hela ina weza ikawa ndogo pia ina weza ikawa nyingi cha muhimu ktk biashara kitu cha kwanza kuangalia n location ya eneo lako.. Sasa kama kutoka shambani hadi kwenye chanzo cha maji tufanye n kilometa mbili au moja.. Hapo ina maana lzm ununue pampu yenye uwezo wa kusukuma hayo maji kwa umbari huo.. Lzm ununue mipira ya umbari huo mafuta lazima yaende sana... Sasa hzo zote n gharama ambazo ukilinganisha na mtu anaye lima karibu na chanzo cha maji atatumia gharama ndogo.. Mbili shamba lilipo kutoka stendi kuu n umbari gani kwa nn nasema hv maeneo mengi ya mashambani hakuna maduka ya pembejeo so lzm kuna mda utakuwa una kuja mjini kuchukua pembejeo sasa kutoka stenidi ya huko shambani mpaka shambani napo utatumia usafiri km n ndivyo gharama hizi na yule ambaye shamba lake lipo karb na stendi ya huko mjini itakuwa sawa... Machache n hayo 2.5M kwangu ina weza kuwa kubwa au pia ina weza kuwa ndogo ina tegemea wapi una wekeza mradi wakoAsante je kwa watu watano ni sawa na M 2.5 inaweza tosha kwenye kilimo