IDed- The woman found dead alongside Chris Musando...

You are one of the 36 bloggers of Uhuru. Peleka propaganda zakufunika uwozo wenu. Alafu mambo yakuwa mnatudanganya kuwa you have democrasy muache. Yours is far too worse. You just kill people.
 
this is the era of fake news my frined...mimi since morning nimekuwa nikitazama habari kila upande NTV, KTN Citizen na sijaona habari hizo...sasa sijui wewe umetoa wapi? anyway, sina haja ya kujibishana nawe...the truth will come out eventually...
Lol kumbe na wewe your unemployed.!! Just watching TV the all day during the working days.
 
b
Cooked, utaamini je kama hiyo body ya woman imetolewa kwa chumba cha maiti na kulazwa hapo? Na kutoa shaka hiyo familia ya huyo biti ili report polisi kupotea kwake kabla?
okay, then what about the car that was found in Roysambu? explain to me why a senior ICT official was doing near a plot (nyumba za kupangisha) ..yaani Roysambu si mahali pa matajiri sana sasa sijui jamaa alikuwa anafanya nini kule?
 
Lol kumbe na wewe your unemployed.!! Just watching TV the all day during the working days.
pumbavuu mkubwa.... kuona TV ina maana u are unemployed? kwa hiyo sasa wewe uko JF you are unemployed? mimi huwa nafanya kazi nyumbani...na kazi ikinilazimu kufika city centre huwa nina TV tunaweza tuka tazama tunapofanya kazi pamoja na wafanyikazi wengine...u have a very shalow head...jamaa skuizi watu wanatazama habari za NTV, Citizen mpaka kwa matatu ama chooni, kwenye treni, ofisini na kadhalika...this is 2017..pengine wewe uko kibandani kule unauza madafu na miraa na ndio maana huwezi ukatazama habari huku ukifanya kazi...ila sikulaumu nchi ambayo internet ina mwendo kama ule wa konokono....look at internet stats in africa...kenya watu wanatazama stesheni za Tv kwenye simu, tablet ama laptop na sio runinga tu...
 
Wakenya mjiandae kuwa wakimbizi soon, acha nimwambie magufuli aanze kupeleka mahema mpakani na kenya

from Katesh using Siemens C55
 
b

okay, then what about the car that was found in Roysambu? explain to me why a senior ICT official was doing near a plot (nyumba za kupangisha) ..yaani Roysambu si mahali pa matajiri sana sasa sijui jamaa alikuwa anafanya nini kule?

Nimekuuliza, hizo picha hapo juu za huyobinti unauhakika nazo ama mmezi pick tu kwa internet ili kuficha uozo?
Je hiyo familia ya binti ili report polisi ijumaa mpaka jana kupotea kwa huyo binti?
Je una uhakika gani hiyo maiti ya mwananmke aikutolewa kwa chumba ya maiti na kulazwa pembeni hapo?

Pili murderer ama mafionso wana intelenjisia yao pia, wako highly trained kwa kazi ya ku murder innocent. Wenda walimteka chini ya bunduki wakamuelekeza wanakotaka waende wao na kurudi kupack hiyo gari walipoi i pack. Hakuna ushahidi wowote kwamba hiyo gari aliipack hapo mwenyewe na siyo watesi wake.

Harafu kingine, kama angekamatwa na watu wakawaida wahuni tena mchana lazima watu wangeiona anavyotoka humo kwenye gari ama anavyotolewa humo ndani ya nyumba sijui ya huyo binti, ama hotelini.
 
okay all these things are theories...anayejua ukweli ni aliyefanya visa hivyo na Mola tu..wengine tunabaki kujadili tu...hata FBI wakija itawabidi wafahye uchunguzi....sasa usianze kusema eti wameuwawa na serikali bila ya kuwa na evidence...
 
So sad... Wauaji hawana huruma Kwakweli
 
okay all these things are theories...anayejua ukweli ni aliyefanya visa hivyo na Mola tu..wengine tunabaki kujadili tu...hata FBI wakija itawabidi wafahye uchunguzi....sasa usianze kusema eti wameuwawa na serikali bila ya kuwa na evidence...

Ni kweli ni theory, na kwanini FBI waje kwenye nchi huru na on top, kwa kitu kilicho obvious kwamba kawa murdered. Iwe upinzani ama serikali mmoja wao kati ya hao ndo mhusika, Methinks.
 
i beg to differ, wauaji might have used caro as a trap to fool the world
 
Kama kazi unafanyia nyumbania during working days you are truly unemployed. Wewe huna tofauti na maid wa nyumbani. JF na tumia mobile phone. Umesema the all day umekuwa uko watch TV. Lol. House Maid.
 
Hii nayo chuki
na Kwa maelezo yako umeonyesha jinsi gani kenya Usalama hakuna!
Kwamba kila mtu atembee na ulinzi kweli!
Hili taifa Kulikoni mnalipeleka wapi!
Mtafikia mahali hata Chooni unaenda na mlinzi!!
 
A Very dangerous precedent. May the Lord forbid!
 
hivi nikuulize, umeiona cctv yenyewe? tuongee na facts na sio ushabik wa kijinga...tunajua watz mnachukia kenya ila kwa mambo sensitive kama haya, ni muhimu kuja na facts na sio ushabiki wa kipumbavu na chuki za peni mbili...
siyo vyema mtu akija na differing opinion una threaten kumnyamanzisha ati because he is a tanzanian, haya ondokeni na mada zenu mpeleke blogs za kenya ili mpendezwe na opinions za members
 
CCTV FOOTAGE Story starts from number 1to 36. Read every screenshot from the last tweet going upward.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…