Idris Sultan ampa makavu mtangazaji wa EATV kwa maswali ya kukera

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Mtangazaji wa EATV ambaye anahoji ma celebrities alikuwa akimhoji Idris Sultan basi iDris akamchana ya kuwa ana maswali ya kukera mno, ni yule anayehoji watu kwenye kipindi cha E newz
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] lakini si alijibu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…