Idris Sultan ataonekana katika filamu ya ‘Ballin …On the Other Side of the World

Idris Sultan ataonekana katika filamu ya ‘Ballin …On the Other Side of the World

directa

Senior Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
102
Reaction score
150
WhatsApp-Image-2017-07-03-at-10.52.07.jpeg

Idris Sultan ataonekana katika filamu ya ‘Ballin …On the Other Side of the World,’ itayoandaliwa nchini Marekani chini ya muongozaji Harvey White.

Filamu hiyo imeandaliwa kwa bajeti ya Dola za Marekani milioni tano.

Ernest Napoleon. mtayarishaji wa Kiumeni. Mapema mwaka huu, Napoleon aliweka historia wakati alipochaguliwa kuwa rais wa kampuni ya uzalishaji na usambazaji wa filamu ya Marekani ya D Street Media Group yenye makao yake jijini New York, pamoja na ofisi katika miji ya Berlin, Buenos Aires na Cape Town.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa D Street na mtayarishaji mtendaji Dexter Davis walimtambua Idris kutokana na kuiangalia filamu ya “Kiumeni’.

“Idris Sultan has what it takes to become an international star and our upcoming film ‘Ballin… On the Other Side of the World’ is a perfect fit. We’re considering Mr. Sultan for other movies as well, alisema Davis.

Kampuni hiyo ya filamu inaazimia kupiga picha sehemu za Marekani na Kenya na haitachelea kutafuta vipaji vingine kwa waigizaji wa Kenya na nchi nyingine za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania pale inapolazimu. (eti itakapo lazimu)
 
hivi lugha iliyokuja na jahazi Ray anagonga?
Thubutuu.....
Ubitozi mwingi tu, hawasomi wala kujiongeza......ndiyo maana mtoto wa tandale anang'ara....language barrier ameshaivunja....
 
Ni nafasi nyingine kwa Mtanzania mwenzetu (Idrisa)

This time akaze msuri, yaweza kuwa Mungu anampa second chance.
 
Hii ni nice move. Hongera kwake ila uliniudhi tu kujiingiza kwenye mapenzi na yule mama, bora hata umeachana naye.
 
Kwenye Red Carpet inabidi amchukue Wema Makanikia ndio atawafunika wakina Jennifer Lawrence.
 
Back
Top Bottom