Kweli kabisa , ana force ,Idriss analazimisha kuchekesha
Tupe mfano please.Mi binafsi Idris ananichekeshaga sana tu huwa ana maneno ya kuchekesha
Tupe mfano please.
Ndio hivyoKwa hyo,???
She is always fake fake fake..."mimba my foot" in wema's voice ha ha ha
Siku nikiona tumbo nitampa hongera, nilitoa hongera kwenye ile nyumba alosema kanunua m400, nikatoa hongera kwenye ile picha kavaa shela akasema kaolewa.....this time nasubiri kwanza
Mtu ajiue kisa wema anamimba !!!!!!!!! mipasho yenu ya insta unaileta kwa great thinkers,huku zinajengwa hoja si mipasho.Amini, Usiamini, Wema sasa mjamzito.
Mtajimurder!!!
Kwa leo tufanye sijaona.Mtu ajiue kisa wema anamimba !!!!!!!!! mipasho yenu ya insta unaileta kwa great thinkers,huku zinajengwa hoja si mipasho.
wema angekua na mimba kwa ninavyomjua angeweka ultrasound insta yule, hana mimba wala mumbuHa ha ha utadhani walikuwepo kwa Dr wakati ma kijacho anapewa majibu
ahahaha, wema angekua na mimba hata ya siku mbili angeonyesha ultra sound insta, hana mimba wala mjusi, mtaji murder nyie wagumba
Wema si alikuwa na mimba ya msukuma au imeyeyuka?Si kammimba wema, wanaume kadhaa wanemshindwa ila Idris kaweza ha ha ha eti kiboko ya wagumba (japo siamini hii story)
Kwa hiyo hata ukimwona barabarani itakuwa ni photoshopo...!! Hii sasa kiboko japo haiishi majiniBila shaka ni story tu ya kuzima ile story ya kutimuliwa kwenye nyumba ntaamini siku nikiona ana bonge la tumbo, sijui ntaaminije make photoshop nazo kiboko
Wema hana mimba, angekua nayo yule alivo hashindwi kuweka picha akiwa anatapikawema angekua na mimba kwa ninavyomjua angeweka ultrasound insta yule, hana mimba wala mumbu