Ulivyo niuliza sifa za msomi ni zipi,? Wewe google hukuiona? So do i [emoji3]Usini challenge , kama hujui maana ya kuwa educated and be uneducated ka google . Tusichoshane
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtazamo wako, ahsante kwa kuchangia.Ushauri mzuri. Ingawaje ungejitambulisha kama kiongozi mkubwa wa kisiasa huenda ushauri wako ungekuwa na uzito wa kipekee wa kuzingatiwa. Lakini kwakuwa umeongea kama kapuku hivi, aaah haya atasikia.
KazanaHuna jipya , unacheka halafu unajitekenya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wabongo huwa wananishangaza sana, hii term "Educated" au "Msomi" huwa iko overrated sana.Nakumbuka tulikua mliman kwenye forum ya distributors and idris alikua one of the guest speaker , sasa baadhi ya wanafunzi pale mliman wakakasikilika, wakawa wanasema idris kuja mliman kuwa lecture ni matusi, but nadhan they were just jealous na mafanikio ya idris ambaye hajasoma, na jamaa alikua anatoa speech ya maana , he was good , Mimi namkubali sana idris
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wabongo huwa wananishangaza sana, hii term "Educated" au "Msomi" huwa iko overrated sana.
Nadhani tafsiri ya usomi sio kuwa na Degree, Masters au Phd at least for me. Msomi anaweza kuwa kwa mtu yeyote aliyepitia kwenye misingi ya taaluma ikamuwezesha kujitambua na kupata maarifa ya kumuwezesha kuishi katika utaratibu mzuri wa maisha hasa ethically. Going further usomi unadhihirika zaidi kwa watu kuwa civilized na kuongozwa na busara katika kupambana na mazingira yanayowazunguka.
NB: Unaweza kuwa umepitia kwenye misingi ya taaluma na ukaonekana si msomi ana hujaelimika. Zaidi tunaangalia ni kipi umebakiwa nacho kichwani kitakachokuwezesha kuishi katika utaratibu sahihi wa kimaisha. Aidha uwe na busara ama uwe na utaalamu flani.
Japo umeonesha mahaba ila nimekuelewa. Kwenye msingi wa mada pia Idris hio comedy is not his thing. Afanye mengine tu. He really doesnt make me laugh!Nazungumzia watu kama idris , Literally Idris is not educated, yet he is not naive , he is so much aware of what is going on in the world , he is exposed , he is a bit Americanized; his life style , even his accent ukimsikia . he can even challenge the graduates on how he carries himself , the boi is emotionally intelligent , ni vile tu Ana ujinga mwingi , but idris ni kijana smart sana , he is so active na anajiamini, anaishi life yake kama yuko mbele hivi, yan namkubal sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wabongo huwa wananishangaza sana, hii term "Educated" au "Msomi" huwa iko overrated sana.
Nadhani tafsiri ya usomi sio kuwa na Degree, Masters au Phd at least for me. Msomi anaweza kuwa kwa mtu yeyote aliyepitia kwenye misingi ya taaluma ikamuwezesha kujitambua na kupata maarifa ya kumuwezesha kuishi katika utaratibu mzuri wa maisha hasa ethically. Going further usomi unadhihirika zaidi kwa watu kuwa civilized na kuongozwa na busara katika kupambana na mazingira yanayowazunguka.
NB: Unaweza kuwa umepitia kwenye misingi ya taaluma na ukaonekana si msomi ana hujaelimika. Zaidi tunaangalia ni kipi umebakiwa nacho kichwani kitakachokuwezesha kuishi katika utaratibu sahihi wa kimaisha. Aidha uwe na busara ama uwe na utaalamu flani.
Idris yuko educated, amepitia mifumo ya taaluma ya msingi na sekondari. He is a learned brother japokuwa hakuweza ku excel katika mkondo wa taaluma, he is talented. Ameweza kublend kile alichojifunza shule na talent yake thus why you see him as the way he is. The British accent plus keeping himself clean. Lifestyle yake na confidence.Most of bongo celebs are not educated , and they are ignorant . Idris is not educated academically but ako smart kichwani, anajielewa sana . Yule bongo bahati mbaya . He has An American Genes[emoji16]. Jamaa anaishi kistaa .
Mastaa wengi wa mbele wako kama idris , hawajaenda shule but wako smart , kulingana nadhan na life style Yao , wako very organized interms of everything .
Idris is the only star wa bongo ambaye I would waste my time having conversation with . Kale katoto kamebarikiwa sana , kako kichwani, kama ningepata bahat ya kum manage angefika mbali
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukweli ni kua hana talent za kuigiza bana mbona mnapiga piga chenga huo ndo ukweli...Lack of creativity . Yan Ana force u comedy . Atulie tu awe normal tu apige issue nyingine ,Ila I comedy hapana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kinachotuharibia wabongo wengi ni ujuaji na kuridhika Mapema. Yote ulomshauri na mtazamo wako ni sahihi lakini bado utaonekana wewe ni hater maana hapo mwenzio ndo kashafika!For the first time nakumbuka I set my eyes on idris ( through Tv) , akiwa katika show ya BIG BROTHER miaka kadhaa iliyopita. I was so impressed with his acting skills , I call it acting coz most of character aliyokua akii portray kwenye BBA it's not the same idris we know , a comedian , mtu ambaye anapenda utani kupitiliza hata kwenye issue za maana jamaa analeta utani , of which is just too much and disgusting .
Idris wa BBA He was a real gentleman , and so intellectually smart , how he expresses himself and how he handles himself , he was so comfortable and relaxing in the house , kuna vitu niliviona from him and nikajua tu this guy is going to win , aiseh he was full of life and energy , in short alikua na swagg za kutosha, na alikua Hana u comedy wa ajabu ajabu kama sasa hivi of which unamuaribia his image at the moment .
Mi ningemshauri tu angeachana na u comedy of which najua anaupenda sana but kwa bahati mbaya haumpendi, he is just forcing , yani inamuaribia personal brand yake , mi nadhani angejikita zaidi na serious roles kwenye uigizaji, I tell you jamaa atafika mbali sana .
Why I'm saying this , cos idris is well articulate ,Ana confidence ,na Ana exposure kidogo na maisha ya ki ughaibuni( life stlye; fluent English , his attire , popularity especially after he won BBA , Ana potential kubwa ya kukamata soko la filamu Kwa africa hata duniani , what I see from idris is acting nothing else , na serious acting not comedy
Aki jaribu kufuata huu ushauri wangu , Trust me , idris is going to represent bongo movie to the world .
Idris he is not educated , but he is well exposed na Ana confidence nzuri sana , and he is so eloquent , so hapa elimu sio kigezo , ni vile tu jinsi mtu unavyochagua maisha ya kuishi, haijalishi umetokea kwenye familia gani , I really adore idris sultan , I'm his biggest fan , Ila afuate ushauri wangu tu
WARUMI
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahah kama kawaida, new year old habits!Kinachotuharibia wabongo wengi ni ujuaji na kuridhika Mapema. Yote ulomshauri na mtazamo wako ni sahihi lakini bado utaonekana wewe ni hater maana hapo mwenzio ndo kashafika!
I hate that boy when he tries to become a comedian, inshort hajui analazimisha! Kuna wanawake wana hisia nae za kimapenzi (mahaba) ndio wanaocheka cheka na kila post anayoweka.KWENYE UIGIZAJI IDRIS ANAPATIA, TENA KWENYE FILAMU ZA DRAMA AU MAPENZI ANAFIT SANA