Mzungu koko tatizo.Kama aliteketeza 500m kama mabua kwenye moto hata kwenye movie nae ataenda kutapakanya.
Naona unatema yai.Nazungumzia watu kama idris , Literally Idris is not educated, yet he is not naive , he is so much aware of what is going on in the world , he is exposed , he is a bit Americanized; his life style , even his accent ukimsikia . he can even challenge the graduates on how he carries himself , the boi is emotionally intelligent , ni vile tu Ana ujinga mwingi , but idris ni kijana smart sana , he is so active na anajiamini, anaishi life yake kama yuko mbele hivi, yan namkubal sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Atafika mbali sana.Yeye anajiona anafit Hollywood his Dreams are Valid.Ana accent mbovu ya kiarusha huyo hawezi kutusua hata bongo let alone kimataifa.
Zile zama za kuongea kwa lafudhi fulani kama Bambo enzi zile zishapitwa na wakati...
Uyo ana lafudhi ya kiarusha anayojairibu kuifuta yani ata anavyoongea tu inaboa kuskiliza.......
Valid to himself, Invalid to Hadhira!Atafika mbali sana.Yeye anajiona anafit Hollywood his Dreams are Valid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ana dream for himself au for Hadhira?Valid to himself, Invalid to Hadhira!
So kama izo movie atakua anaziangalia mwenye chumbani kwake so yeah they are valid ila kama ni sisi well.....jibu unalo.
Kama ni kwa hadhira ...sisi si ndo hadhira ama?Kwani ana dream for himself au for Hadhira?
Your Dreams are Valid too!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bitter truth to a wrong person!Kama ni kwa hadhira ...sisi si ndo hadhira ama?
We kama una self obssession naye sawa ila ukweli ni kua hana caliber ya kutusua hata kwenye bongo movie let alone hollywood.
Acheni zarau eti hollywood.....Tanzania hakuna World class actor bado labda hao ambao hatujawaona aisee.
Bitter truth, huh!??
Naona hatuelewani. Keep the Fantasy to yourself
AnafosiNilishawahi kuhudhuria moja ya show zake,nikawa nashangaa sana mbona sicheki nikajua labda stress zangu ni kubwa kuliko vichekesho vyake,
Lakini nimekuja kugundua kwenye comedy jamaa hamna kitu kabisa
What is usomi? Ability ya kuweza kutumia maarifa uliopata kukabiliana na mazingira yanayokuzunguka. Tuangalie faida za elimu.
1.Afya ya mwili na mambo ya kuzingatia
2.Sheria na changamoto zake n.k
3.Lugha
4.Uchumi
5.Ustaarabu
Mtu aliepita shule akawa well informed juu ya haya machache anaweza ku qualify kuitwa msomi. Regardless ameishia level gani
Nilishawahi kuhudhuria moja ya show zake,nikawa nashangaa sana mbona sicheki nikajua labda stress zangu ni kubwa kuliko vichekesho vyake,
Lakini nimekuja kugundua kwenye comedy jamaa hamna kitu kabisa
Hiyo para #2 unamwongelea Idris wa sasa au wa kipindi kile cha BBA, sijakupata vizuri kwa hicho kidhungu!For the first time nakumbuka I set my eyes on idris ( through Tv) , akiwa katika show ya BIG BROTHER miaka kadhaa iliyopita. I was so impressed with his acting skills , I call it acting coz most of character aliyokua akii portray kwenye BBA it's not the same idris we know , a comedian , mtu ambaye anapenda utani kupitiliza hata kwenye issue za maana jamaa analeta utani , of which is just too much and disgusting .
Idris wa BBA He was a real gentleman , and so intellectually smart , how he expresses himself and how he handles himself , he was so comfortable and relaxing in the house , kuna vitu niliviona from him and nikajua tu this guy is going to win , aiseh he was full of life and energy , in short alikua na swagg za kutosha, na alikua Hana u comedy wa ajabu ajabu kama sasa hivi of which unamuaribia his image at the moment .
Mi ningemshauri tu angeachana na u comedy of which najua anaupenda sana but kwa bahati mbaya haumpendi, he is just forcing , yani inamuaribia personal brand yake , mi nadhani angejikita zaidi na serious roles kwenye uigizaji, I tell you jamaa atafika mbali sana .
Why I'm saying this , cos idris is well articulate ,Ana confidence ,na Ana exposure kidogo na maisha ya ki ughaibuni( life stlye; fluent English , his attire , popularity especially after he won BBA , Ana potential kubwa ya kukamata soko la filamu Kwa africa hata duniani , what I see from idris is acting nothing else , na serious acting not comedy
Aki jaribu kufuata huu ushauri wangu , Trust me , idris is going to represent bongo movie to the world .
Idris he is not educated , but he is well exposed na Ana confidence nzuri sana , and he is so eloquent , so hapa elimu sio kigezo , ni vile tu jinsi mtu unavyochagua maisha ya kuishi, haijalishi umetokea kwenye familia gani , I really adore idris sultan , I'm his biggest fan , Ila afuate ushauri wangu tu
WARUMI
Sent from my iPhone using JamiiForums
I think soKujinyegesha, aaaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama Me wala hanichekeshi hata akeshe jukwaaniUkweli mtupu aigize filamu nilimuona kwenye stand up comedy ni wa kawaida sana hashtui