Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Kama kweli atachunwa chenji za BBA zooote zilizobaki,lulu sio zoba kama mama ubaya
ila lulu anatoka na CEO wa radio mpya mjin
Ni Majid yule actor wa GhanaGENTAMYCINE KUJA HAPA!, HIVI CEO WA E EFEME NI NANI?
HahaaaaaaaaaR.I.P Idris!
Ukifika wasalimie Komba na Kanumba!
mmmh hukawii kuona virago vimerushwa njehongera wema kumbe ana kwake
Ha ha ha vidosho ni vikurumbembe shouger lolVidosho ndio watu gani??
hilo jina limenichekesha though lols
Lulu ni mtu mmoja smart sana, mtoto mdogo ila akili kubwa huwezi mlinganisha na miss fekeroMbona kama kaacha afadhali kafuata potelea mbali?
Majiii? Lulu ana madanga mengi tu tunayajuaga waki r.i.pKama kweli atachunwa chenji za BBA zooote zilizobaki,lulu sio zoba kama mama ubaya
ila lulu anatoka na CEO wa radio mpya mjin
Modo mwenyewe alimkwapua kwa mtu, atakwapua mwingine maisha yaendeleeKweli mjini kuovatekiana......nguvu zako tu za mguu kukanyaga mafuta........sasa na modo wetu inakuwaje.......na mtoy.....?......
Ha ha ha hivi binamu lulu alikuwaga jela kweli? Jela ipi mtu akikaa ananawiri vileLulu jela kumemkuza *****, upuuzi hana sasa hivi, wema sepetu nae ngoja awekwe rumande kama mwaka hivi akitoka utaona kama atakua na drama za kipuuzi