No one belongs or 'from online', we all are from somewhere, some tribe, some people, mababu zako wametokea sehemu ambapo ndio asili yako wacha kuogopa. Mengine haya ni mzungu tu kalazimisha tuishi pamoja na kutuchagulia mipaka.
No one belongs or 'from online', we all are from somewhere, some tribe, some people, mababu zako wametokea sehemu ambapo ndio asili yako wacha kuogopa. Mengine haya ni mzungu tu kalazimisha tuishi pamoja na kutuchagulia mipaka.
Sasa kabila au dini ya mtu vina faida gani hapa duniani? Kama wote mnaishi kwa usawa maswala ya ukabila au udini unakosa sababu ya juwepo katika jamii. Binadamu wote ni sawa, wanazaliwa, wana ishi na wana kufa. Zaidi ya hapo ni marembo ambayo yameletwa na sisi binadamu kututenganisha.