If God knew we are such complex and imperfect beings, kwa nini kupata msaada wake ni mbinde hivi ingawa mwana kondoo alijotolea kwa ajili ya ukombozi?

If God knew we are such complex and imperfect beings, kwa nini kupata msaada wake ni mbinde hivi ingawa mwana kondoo alijotolea kwa ajili ya ukombozi?

Bwana amejaa huruma....

Bwana amejaa huruma

Naa neema.....

Bwana aah amejaaa huruma

Bwanaa aah amejaa huruma

Naa neema!
 
Kuna njia sahihi za kumpata.Unahitaji maarifa...Kama unahisi uko mis informed unatakiwa ujue kwa nini ulipewa mis information...All in all kuna njia simple za kumkaribia..Kumaintain kunahitaji displine kubwa... Displine Katika uhusiano na Mungu ni kitu muhimu...Kwa YESU Kristo,,,Kwa Holly Sprit and Holly father.. Believe in Jesus Christ,,have the gift of holly sprit in your heart and love your God with all your heart,,sprits and your soul..Then you will be activated to your need in spritiual realm and here in the earth.
 
Maybe i am mis-informed na un-informed, labda ni ignorance, Bwana anisamehe, ila all in all nimekubali kuwa sijui na nisaidiwe kujua.
Punguza kukaa karibu na kiranga na min -me washaanza kukuharibu😁😁😁 God is not good nor bad He is Wise
 
Back
Top Bottom