Ifahamu BATUK - British Army Training Unit Kenya

Ifahamu BATUK - British Army Training Unit Kenya

Hebu tujiulize kama KDF inaweza kubaliwa kufanya mazoezi in The Scotish Highlands? Hawa mabeberu wako hapa kulinda mali yao, wanafaa watimuliwe mbio sana. #kickoutwhitearmyoutofafrica
 
Hebu tujiulize kama KDF inaweza kubaliwa kufanya mazoezi in The Scotish Highlands? Hawa mabeberu wako hapa kulinda mali yao, wanafaa watimuliwe mbio sana. #kickoutwhitearmyoutofafrica
Hatujawaomba ruhusa wakakataa
Plus it's expensive btw can you afford your military training there?
Ama unafikiri ni Kama kucheza katii ama boli ?
[emoji1787][emoji38][emoji16]
 
Mnachapwa za makalioni na ISIS Ntwara na bado wapo wanasongelea Magogoni hapo weee mtatia adabu
Tumehamia Dodoma hatupo Magogoni tena.

Lakini si umesikia madalali wa kuuza silaha wanalalamika Tanzania inatwanga mpaka nje ya mpaka?

War mongers
 
Hebu tujiulize kama KDF inaweza kubaliwa kufanya mazoezi in The Scotish Highlands? Hawa mabeberu wako hapa kulinda mali yao, wanafaa watimuliwe mbio sana. #kickoutwhitearmyoutofafrica
Leo mkuu nakuunga mkono. ukiona wanaweka base zao huku kuna kitu wanakitaka, hawatoagi msaada usio na "return-back a hundred folds"
 
Hatujawaomba ruhusa wakakataa
Plus it's expensive btw can you afford your military training there?
Ama unafikiri ni Kama kucheza katii ama boli ?
[emoji1787][emoji38][emoji16]
Usiwe na akili za kushikiwa wewe. Bado unaendeleza mentality za kikoloni.unaona ni Haki kabisa mwingireza kukaa hapo Kenya kuliko wewe mkenya kwenda kujenga hiyo military camp huko kwao. Futa ujinga kataa kuwa mtumwa wa mzungu.
 
Hatujawaomba ruhusa wakakataa
Plus it's expensive btw can you afford your military training there?
Ama unafikiri ni Kama kucheza katii ama boli ?
emoji1787.png
emoji38.png
emoji16.png
Open your eyes My Friend, They could have chosen Australia which also has Tropical Climate similar to that of Kenya, wangeenda huko Queensland ama Outback wakafanye hizo upuzi zao.
 
Nani anachapwa tumeshawamaliza tayari. Wale waliwashambulia Kwa kushtukiza na wameshamalizwa tayari.











Mnachapwa za makalioni na ISIS Ntwara na bado wapo wanasongelea Magogoni hapo weee mtatia adabu
 
Usiwe na akili za kushikiwa wewe. Bado unaendeleza mentality za kikoloni.unaona ni Haki kabisa mwingireza kukaa hapo Kenya kuliko wewe mkenya kwenda kujenga hiyo military camp huko kwao. Futa ujinga kataa kuwa mtumwa wa mzungu.
Alafu mbona ile military training college yenyu wachina waliitolea hela na kuanza kuwajengea? Hivi mnawaamini wachina na resources za kijeshi? Pumba sana! 😂
 
Back
Top Bottom