Ifahamu nchi ya Bhutan na maajabu yake

Hii makala haijabalansi haiwezekani kuwe hamna bia na mabinti wanaojiuza alaf maisha yakawa ya furaha tupu.
Kwa tamaduni zao si kipaumbele kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah mpaka nimetamani kwenda huko japo kuna mambo mawili matatu hayajatajwa ama ni ngumu kuyapata
. Vigoli kwa ajili ya kunogesha ziara na kuonja ladha mpya[emoji13]
.Ulabu
. Jani
Uchawi na ushirikina
 
Dah mpaka nimetamani kwenda huko japo kuna mambo mawili matatu hayajatajwa ama ni ngumu kuyapata
. Vigoli kwa ajili ya kunogesha ziara na kuonja ladha mpya[emoji13]
.Ulabu
. Jani
Uchawi na ushirikina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulabu
Vigoli
Jani.... All are likely impossible japo kutakuwa na provisions za masmokers kama hizo charges n.k
Ulozi... Haikosekani hii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulabu
Vigoli
Jani.... All are likely impossible japo kutakuwa na provisions za masmokers kama hizo charges n.k
Ulozi... Haikosekani hii
[emoji120][emoji120][emoji120]fanya tupate taarifa za ziada, kama visa na gharama nyingine na kama unaweza kufika Bhutan kwa barabara kutokea nchi jirani
 
Nikitumia mbinu za kimafia siwezi kut omb a demu wa huko? Madem wao wana vyura?
Utaashia kwenye nondo au adhabu kali tu... Vyura ni bidhaa adimu as waasia wengi hawajajaliwa migongo mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…