Ifahamu Nchi Yenye Miezi 13

Ifahamu Nchi Yenye Miezi 13

mahunduhamza

Member
Joined
Aug 25, 2021
Posts
19
Reaction score
46
A woman blows a trumpet ahead a procession to mark the victory at the Battle of Adwa - March 2021, Addis Ababa, Ethiopia

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Taifa la Ethiopia limekaribisha mwaka mpya hivi karibuni, licha ya kuwepo kwa baadhi ya madhila ya vita na njaa hasa upande wa mashariki wa taifa hili. Fahamu zaidi kuhusu kalenda ya mwaka wa kipekee wa Ethiopia kama urithi wa nchi hiyo.
1) Mwaka ambao una miezi 13

Sio jambo hilo tu la miezi, mwaka huu wa Ethiopia upo miaka saba nyuma na miezi nane ukilinganishwa na kalenda inayotumika ulimwenguni, Jumamosi mwezi huu waliukaribisha mwaka 2014.
Hii inatokana na kwamba wanahesabu mwaka aliozaliwa Yesu kristu tofauti, Kanisa katoliki lilipokuwa limefanyia marekebisho mwaka wa kuzaliwa kristo miaka ya 500 AD, Kanisa la Orthodox halikufanya marekebisha upande wao.

People from the Oromo community celebrate Irreecha in Bishoftu, Ethiopia - 2017

CHANZO CHA PICHA,AFP
Mwaka wao mpya huadhimishwa kila ifikapo Septemba 11 na siku nyingine huangukia tarehe 12 mwezi huo huo.
Tofauti na watoto wanaokua mahali pengine duniani, kuna haja pia kwa vijana wa Ethiopia kujifunza kuwa kuna siku ngapi katika mwezi.
Kwa upande wa Ethiopia ni rahisi, katika miezi 12 kuna siku 30 kila mwezi na mwezi wa 13- Mwezi wa mwisho ukiwa na siku tano mpaka saba tu inategemea zaidi na inapoangukia.

Muda nao uhesabiwa tofautI​

 
Nataka kujua tuu mshahara wa mwisho wa mwezi wa 13 unakuwaje kwa wafanya kazi
 
A woman blows a trumpet ahead a procession to mark the victory at the Battle of Adwa - March 2021, Addis Ababa, Ethiopia

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Taifa la Ethiopia limekaribisha mwaka mpya hivi karibuni, licha ya kuwepo kwa baadhi ya madhila ya vita na njaa hasa upande wa mashariki wa taifa hili. Fahamu zaidi kuhusu kalenda ya mwaka wa kipekee wa Ethiopia kama urithi wa nchi hiyo.
1) Mwaka ambao una miezi 13

Sio jambo hilo tu la miezi, mwaka huu wa Ethiopia upo miaka saba nyuma na miezi nane ukilinganishwa na kalenda inayotumika ulimwenguni, Jumamosi mwezi huu waliukaribisha mwaka 2014.
Hii inatokana na kwamba wanahesabu mwaka aliozaliwa Yesu kristu tofauti, Kanisa katoliki lilipokuwa limefanyia marekebisho mwaka wa kuzaliwa kristo miaka ya 500 AD, Kanisa la Orthodox halikufanya marekebisha upande wao.

People from the Oromo community celebrate Irreecha in Bishoftu, Ethiopia - 2017

CHANZO CHA PICHA,AFP
Mwaka wao mpya huadhimishwa kila ifikapo Septemba 11 na siku nyingine huangukia tarehe 12 mwezi huo huo.
Tofauti na watoto wanaokua mahali pengine duniani, kuna haja pia kwa vijana wa Ethiopia kujifunza kuwa kuna siku ngapi katika mwezi.
Kwa upande wa Ethiopia ni rahisi, katika miezi 12 kuna siku 30 kila mwezi na mwezi wa 13- Mwezi wa mwisho ukiwa na siku tano mpaka saba tu inategemea zaidi na inapoangukia.

Muda nao uhesabiwa tofautI​

It is very interesting?
 
Nataka kuoa huku sijui nifanyeje ili nipate kimwana
 
Wakatoliki wametuchezea sana, hadi mwaka wa kuzaliwa yesu nao wamebadili?
 
Back
Top Bottom