Ifahamu Paypal id yako.

LIBRARY

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
231
Reaction score
238
[h=3]

[/h]
[h=1]Paypal id ni nini?[/h] [h=3]ID yako ya PayPal ni barua pepe yako ama email address ambayo umefungulia Paypal account. Kwa lugha nyingine Paypal id is your email id ambayo uliitumia wakati ukifungua account Paypal id.[/h] [h=3]Ukiachana na Paypal kutumika kama mfumo au mtandao unaolinda taarifa za kifedha kati ya mnunuzi na muuzaji mtandaoni katika ufanyaji wao wa biashara, lakini Paypal vilevile inamuwezesha mtu kupoke pesa mtandaoni kwa shughuli zote atakazo kuwa amezifanya kwenye mitandao mbalimbali inayolipa, shughuli hizo ni kama kujiunga na affiliates programs, kufanya matangazo ya biashara etc.[/h] [h=3]Kibongobongo pesa zilizopo kwenye account ya Paypal zitatumika tu kununua na kulipia bidhaa nyingine mtandaoni kama vile simu, nguo na other stuffs au kulipia huduma flani kwani hatujafikia hatua ya kuzihamisha pesa hizo kwenda kwenye local bank account.[/h] [h=2]Hatua za kufungua PayPal Account[/h] [h=4]1. Sign Up on PayPal
Watakutumia verification email.[/h] [h=4]2. Verify your email id, kwa kufungua email waliyokutumia.[/h] [h=4]3. verify your Bank account, watakukata hela kidogo ambazo baadae watazirudisha ni kama $1.5 <3000 tzs.[/h]http://chapisha.com/je-unaijua-paypal-id-yako/
 
Akanti ya paypal tanzania haiwezi kupokea malipo. BTW, uwe unasearch kwanza, hiyo mada imejadiliwa kwa kirefu sana humu jf.
 
Akanti ya paypal tanzania haiwezi kupokea malipo. BTW, uwe unasearch kwanza, hiyo mada imejadiliwa kwa kirefu sana humu jf.

Na mimi nimeyapitia hayo majadiliano yenu ya "kirefu" na nkagundua vitu vichache ambavyo havikujadiliwa.

Btw hata kama mada imejadiliwa haimyimi mtu mwingine kujadili kivyake.

Kumbuka unaweza kufungua paypal ac without bank acc kwa kutumia entropay virtue credit card.

virtue credit card hiyo inaweza kutumika ku-verfy paypal a/c.

virtual credit card inakuwezesha wewe kutoa na kupoke pesa kokote duniani.

Kwa sababu wewe ni much know ngoja nikuache kidogo.
:music:
 

oooops! kwani tunabishana mkuu?!! mimi nimesema tu kwamba hizo mada zipo nyingi kwa kujua huenda haujaziona, na sijaona kipya ulichokieleza hapa ambacho kule hakikuongelewa, hata hizo virtual cc zimezungumziwa, hata ukilink hiyo virtual cc na akaunti yako ya paypal ya tanzania haiwezeshi akaunti yako ya paypal tz kupokea malipo, akaunti yako itakuwa verified lakini mtu akijaribu kutuma pesa kutoka kwenye paypal yake kuja kwako itakataa, labda uhamie nchi nyingine mkuu, au utumie "njia" nyingine, ambapo paypal wakigundua wana uamuzi wa kuilimit akaunti yako na pesa zikakwama humohumo. again, hatubishani tunajadili...kama unataka kuwa "ticha" unajua vyote hauhtaji mjadala au haupendezwi tu na nilichoandika unaweza kusema mkuu nikakupisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…