Ifahamu ROMANTIC SYNDROME SHOCK (RSS) Kwa Wapendanao

Ifahamu ROMANTIC SYNDROME SHOCK (RSS) Kwa Wapendanao

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Hii ni Hali ya mabadiliko ya ngozi na mwonekano wa mwili pale ambapo unapopata furaha kupitiliza hasa katika penzi jipya.

Hali hii uwapata baadhi ya wapendanao hasa wanapokua ktk penzi jipya na wakionekana ktk furaha sana

Mtu alieathirika na RSS huanza kuota vipele Vidogo kwenye lips mdomoni,ndani ya mdomo, Hadi kwenye ulimi.

Vipele hivi Mara nyingi haviumi Ila vinaleta ubaridi flani Kwa mhusika na Kuna MDA vinatoa majimaji Ila havina athari yoyote kiafya.

Nawasilisha
 

Attachments

  • IMG_20250210_214323.jpg
    IMG_20250210_214323.jpg
    46.5 KB · Views: 2
Hii ni Hali ya mabadiliko ya ngozi na mwonekano wa mwili pale ambapo unapopata furaha kupitiliza hasa katika penzi jipya.

Hali hii uwapata baadhi ya wapendanao hasa wanapokua ktk penzi jipya na wakionekana ktk furaha sana

Mtu alieathirika na RSS huanza kuota vipele Vidogo kwenye lips mdomoni,ndani ya mdomo, Hadi kwenye ulimi.

Vipele hivi Mara nyingi haviumi Ila vinaleta ubaridi flani Kwa mhusika na Kuna MDA vinatoa majimaji Ila havina athari yoyote kiafya.

Nawasilisha
Mimi nilijua gono kumbe ni Rss 🤣🤣🤣🤣
 
Muwe mnatoa tahadhari kama mnajua mmeweka picha mnato zenye fujo!
 
Hii ni Hali ya mabadiliko ya ngozi na mwonekano wa mwili pale ambapo unapopata furaha kupitiliza hasa katika penzi jipya.

Hali hii uwapata baadhi ya wapendanao hasa wanapokua ktk penzi jipya na wakionekana ktk furaha sana

Mtu alieathirika na RSS huanza kuota vipele Vidogo kwenye lips mdomoni,ndani ya mdomo, Hadi kwenye ulimi.

Vipele hivi Mara nyingi haviumi Ila vinaleta ubaridi flani Kwa mhusika na Kuna MDA vinatoa majimaji Ila havina athari yoyote kiafya.

Nawasilisha

Kama kuna mtu atapata hali kama hiyo ya kwenye picha namshauri aende hospitali haraka akaonane na daktari kwa ajili ya uchunguzi na vipimo, si kawaida hata kidogo.

Kila la kheri.
 
Kama kuna mtu atapata hali kama hiyo ya kwenye picha namshauri aende hospitali haraka akaonane na daktari kwa ajili ya uchunguzi na vipimo, si kawaida hata kidogo.

Kila la kheri.
Haina haja mkuu, vinapona automatic
 
Back
Top Bottom