Aisee πMbona mdomo kama wa bwana harusi
Mimi nilijua gono kumbe ni Rss π€£π€£π€£π€£Hii ni Hali ya mabadiliko ya ngozi na mwonekano wa mwili pale ambapo unapopata furaha kupitiliza hasa katika penzi jipya.
Hali hii uwapata baadhi ya wapendanao hasa wanapokua ktk penzi jipya na wakionekana ktk furaha sana
Mtu alieathirika na RSS huanza kuota vipele Vidogo kwenye lips mdomoni,ndani ya mdomo, Hadi kwenye ulimi.
Vipele hivi Mara nyingi haviumi Ila vinaleta ubaridi flani Kwa mhusika na Kuna MDA vinatoa majimaji Ila havina athari yoyote kiafya.
Nawasilisha
π€£π€£Nina wasiwasi huyu jamaa kuna ugonjwa anataka kuuhalalishaWatu wakikuona hivo wanajua STD's zishaanza kukutafuna, inaogopesha kwa kweli
π€£ππ€£πNimeamini Fitna Zipo Ndugu ZanguMbona mdomo kama wa bwana harusi
HeheheMbona mdomo kama wa bwana harusi
MkuuFitna zitoke wapi Tena mzee mwenzangu
Si ni kweli mkuuπ€£ππ€£πNimeamini Fitna Zipo Ndugu Zangu
Au nasema uongo, umepotelea wapiAisee π
Hii ni Hali ya mabadiliko ya ngozi na mwonekano wa mwili pale ambapo unapopata furaha kupitiliza hasa katika penzi jipya.
Hali hii uwapata baadhi ya wapendanao hasa wanapokua ktk penzi jipya na wakionekana ktk furaha sana
Mtu alieathirika na RSS huanza kuota vipele Vidogo kwenye lips mdomoni,ndani ya mdomo, Hadi kwenye ulimi.
Vipele hivi Mara nyingi haviumi Ila vinaleta ubaridi flani Kwa mhusika na Kuna MDA vinatoa majimaji Ila havina athari yoyote kiafya.
Nawasilisha
Ndiyo Ukweli, Nasema Uongo Ndugu ZanguSi ni kweli mkuu