Ifahamu sumu kuvu (mycotoxins)

Karanga zinapendwa sana na kuvu...
 
Chanzo cha hii "sumu kuvu" (aflatoxin/mycotoxin) ni kutokana na kuhifadhi nafaka kama MAHINDI na KARANGA sehemu zenye UNYEVU-UNYEVU (Humid environment).. Kwasababu aina hii ya fungus na fungus wa aina zingine hupendelea sehemu zenye unyevu unyevu...
 
Inashauriwa nafaka hizi zikaushwe vizuri kabla ya kuhifadhiwa, na zihifadhiwe sehemu isiyo na unyevu unyevu au isiyoruhusu unyevu kuingia...
Pia mazao yakikauka yavunwe maramoja mfano mahindi, ili kuepuka mvua zile za mwisho (late season rainfall) kuja kulowanisha mazao shamban kwani ubichi huo utatengeneza mazingira mazuri kwa hawa fungus kutokea.
 
Karanga zinapendwa sana na kuvu...
Yaa, pamoja na mahindi, mfano, kule kenya milipuko ya watu kuugua na baadhi kufa kutokana na kula mahindi yenye kiwango kikubwa cha aflatoxin vimekua vikitokea mara kwa mara tokea mwaka 1981 na hivi karibuni mwaka 2004. Nilishangaa kusikia wanasema mahindi kutoka Tanzania yana aflatoxin jambo ambalo si kweli. Kutokana na kuwa na uhaba mkubwa wa mahindi huko kenya, watu wanaweza kuhifadhi hayo mahindi kwa muda mrefu kwenye mifuko ya sandarusi ambayo inaweza kupelekea kutengeneza uvundo na kuzalisha kiwango kikubwa cha aflatoxin, na kutokana na hali ya uhaba wa nafaka watu hasa wa kipato cha chini hawana namna ya kuacha kutumia mahindi hata kama kwa macho yataonekana hayafai kutumiwa kama chakula....
 
Karanga zinapendwa sana na kuvu...

Inawezekana lakini wameshayashuku mahindi yetu hivyo ni vyema tuwe na hii elimu ya uhifadhi bora ili kugeuka hasara.
 

Attachments

  • Screenshot_20210307-220618_Chrome.jpg
    62.9 KB · Views: 1
Wale wapenzi wa udaga au unga wa mihogo embu angalieni hii picha hapa chini huenda tukaona tunakoelekea au tukaamua kubadili uelekeo.









 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…