Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
IJUE VITA FUPI ZAIDI KUTOKEA
Vita hii ilitokea tr 27-8-1896 ilikua kati ya Zanzibar vs Uingereza ilidumu kwa dk38 tu
Alipewa jina la "The Anglo Zanzibar War"
Kwa muda wa dk38 ya vita hivi zaidi ya watu 500 walikufa.
Vita hii ilitokea ambapo Uingereza walitaka kuitawala Zanzibar. Lakini kwenye vita hii Zanzibar ilisalimu amri.
Hii ndio ikawa vita fupi zaidi kutokea iliyopiganwa katika ardhi ya Tanzania huko visiwani Zanzibar.
Vita hii ilitokea tr 27-8-1896 ilikua kati ya Zanzibar vs Uingereza ilidumu kwa dk38 tu
Alipewa jina la "The Anglo Zanzibar War"
Kwa muda wa dk38 ya vita hivi zaidi ya watu 500 walikufa.
Vita hii ilitokea ambapo Uingereza walitaka kuitawala Zanzibar. Lakini kwenye vita hii Zanzibar ilisalimu amri.
Hii ndio ikawa vita fupi zaidi kutokea iliyopiganwa katika ardhi ya Tanzania huko visiwani Zanzibar.