Salam kutoka Kimomwe Motors Tanzania Limited WAAGIZAJI WA MAGARI.
Siku za hivi karibuni, gari hii imekua kimbilio kwa wenye uhitaji wa gari yenye uimara na nguvu lakini inayotumia mafuta kidogo. Injini yenye Cc 1500 inayoenda kilomita 16 kwa lita moja ya mafuta. Imetulia sana barabarani inapokua katika mwendo kasi, na vipuli vyake ni vingi.
Gari hizi kwa muundo ni kama Toyota IST. Kwa maelezo zaidi piga namba 0746 267740 au tembelea ofisi zetu zilizopo Magomeni Mapipa.
KIMOMWE MOTORS- Waagizaji wa Magari bora na nafuu nchini Tanzania
Siku za hivi karibuni, gari hii imekua kimbilio kwa wenye uhitaji wa gari yenye uimara na nguvu lakini inayotumia mafuta kidogo. Injini yenye Cc 1500 inayoenda kilomita 16 kwa lita moja ya mafuta. Imetulia sana barabarani inapokua katika mwendo kasi, na vipuli vyake ni vingi.
Gari hizi kwa muundo ni kama Toyota IST. Kwa maelezo zaidi piga namba 0746 267740 au tembelea ofisi zetu zilizopo Magomeni Mapipa.
KIMOMWE MOTORS- Waagizaji wa Magari bora na nafuu nchini Tanzania