Gene da beauty
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 446
- 830
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu CMU yko inapatikana wapi hapa bongo bht mbaya!!!Hii itatusaidi kujua simu zipi zinatumika sana na kupata maoni ni kwa nini zipi zinapendelewa sana na zipi ni bora
Sent from my SM-J 9using JamiiForums mobil
Mkuu hyo yako inatambulika?Wewe na tecno yako tuachie uzi wetu
Yangu bado haijatoka bado hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu CMU yko inapatikana wapi hapa bongo bht mbaya!!!
Unaweka vipi mkuuNilichokigundua ni kwamba kuna uwezekano mkubwa wa watu kudanganya aina za simu mathalani mtu anaweza akajiwekea hata iphone 10 akitaka
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mkuu unabadili vipiKwani hiyo si ni signature unaweza andika hata sent from Mavi
Heh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] xo hapo unatumia kifaa haina cm CIO sim!!Yangu bado haijatoka bado hahaha
Ilikuwepo long time ago lakiniBaada ya jamii forum kuweka king'amuzi cha kusoma aina za simu humu ndani hebu tufanye sensa ya wale wote wa samsung , tecno , iphone na nokia lumia
Ukisha comment tayari una edit tena comment yako itakuja sehemu ya kutambulisha simu unaandika unachotaka sasaUnaweka vipi mkuu
Teh teh tehDuh ila ukitaka unaondoa hiyo kwenye setting za simu
Sent from my SM-J710GN using JamiiForums mobile app
Najaribia tu mkuuDuh ila ukitaka unaondoa hiyo kwenye setting za simu
Sent from my SM-J710GN using JamiiForums mobile app
Wewe na tecno yako tuachie uzi wetu
haka kamsemo kanakuwa maarufu sent from my sumsung-S8 using jamiiForums mobile appIlikuwepo long time ago lakini
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Akileta sensa ya tunaotumia Web browser kwa Pc unitag pleasehaya fanya basi
Sent from my NOKIA KITOCHI using JamiiForums mobile app