πππππNdio hicho chanzo ambacho mlikuwa mnatuletea zile hesabu zenu za tukifuzu robo tunakuwa nafasi ya 5?
Hata ALGER kaachwa mbali na yanga#MICHEZO: Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu (IFFHS) limetoa takwimu ya vilabu bora 24 Barani Afrika kuanzia Tarehe 1 Januari mpaka 31 disemba mwaka 2024.
Katika Takwimu hizo Klabu ya Yanga ipo nafasi ya 9 ikiwa juu ya Kalbu ya Simba ambao wapo nafasi ya 15.
Orodha hiyo Klabu kutoka Kaskazini mwa Bara la Afrika zimeendeleza ubabe kutokana na ubora wao na kushikilia namba 1 mpaka 7.
Mwaka huu unaiona Simba na Yanga zikimaliza nafasi ya ngapi?
#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV @nickymeena_View attachment 3210009
Hiyo record imefanywa na studio gani?CAF ndo wametoa hizi record mpya
Hizi takwimu za vichochoroni tuliamua kuachana nazo na wala hatuzitumii kuji mwambafy.πππππ
Hyo haipo mkuuHii vipi?
View attachment 3210015
Lile Genge Saa Hizi Wanafarakana Wanawaza Mengi Wamtimue Said AmaNdio hicho chanzo ambacho mlikuwa mnatuletea zile hesabu zenu za tukifuzu robo tunakuwa nafasi ya 5?
Fifa wana shirika?Hili ni shirika la FIFA