Ifike hatua niachwe tu!

Dah wabongo bana dah,yani starehe mmeifanya kama ugonvi.
Kwani ukipiga kimoja chali ukaridhika kuna shida gani.

Kimoja dharau sana babu hizo piga mashine mpka akaheme kwao tena hao wanaopiga vizinga kukunguta mboo mpka aseme hiki nn
 

Siku hizi hata wenye masters wapo wanaotumia X badala ya S. Kuna jamaa mmoja huwa anatumia hizo x na umri n juu ya 30 na ni degree holder.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu kwanza tu kuvumilia uandishi wa x badala ya s ni kipaji tosha!

Hayo wa mizinga subiri uwabata wenzio waje wakushauri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao mnaowasifia hawaombi sio kwamba wanapenda kutokupewa pesa. Hawana tu ujasiri wa kuomba ila asilimia karibu mia ya wanawake tunapenda pesa za wapenzi wetu
 
Niambie maana ya kutega mingo ili nikushauri vizuri ila kijana mambo ya kuishi nyumbani na kutegemea hela za wazazi sio poa nakushauri unipe namba ya huyo demu wa mizinga nami nitege mingo.
 
Hahah nimecheka hiyo misemo ya uchumi wa kati. Lakini mnawakosea sana akina Kim, wale wanamiliki mkwanja wa laana hawapaswi kufananishwa hata kwa bahati mbaya na hawa wajukuu wa TANU.
 
Mkuu karibu chamani UWABATA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…