Ukiamka uje uedit ujinga wako hapa sawa we mzee!Lady jay Dee kiboko jamn
Kwani kuna mtu amekuzuia kumfungulia thread mmakonde mwenzio harmorapa!? Acha zako bhanaTatizo ya hizi timu,mtu wao akitoa wimbo basi nyuzi zinafunguliwa kila baada ya saa. Mnampamba mpaka inapitiliza sasa.
Huu ni wivu mbaya sanaMbona ni wakawaida sana hauna jipya lolote!!!
Lady Jay Dee ametoa remix..?Lady jay Dee kiboko jamn
Uchi kabisa hadi k?Kulikuwa na haja gani ya yule dada kutokea ''uchi''
NdioLady Jay Dee ametoa remix..?
Sawa mkuu.Ukiamka uje uedit ujinga wako hapa sawa we mzee!
Matiti na makalio ni sehem nyeti za mwanamkeUchi kabisa hadi k?
MchawiMbona ni wakawaida sana hauna jipya lolote!!!
Mchawi
Mi sio mchawi, biti kaiba kwenye moja ya nyimbo za AY!!!Mchawi
Huna kazi yakufanya unabaki kufatilia vtu visivyo kusaidia au ndo kaz yako umbeaMi sio mchawi, biti kaiba kwenye moja ya nyimbo za AY!!!
Kama ww sio ke kuna shida ndani yakoMi sio mchawi, biti kaiba kwenye moja ya nyimbo za AY!!!