pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Wanauwezo kifedha lakini wachezaji wao ni wa kawaida sana. Hakuna tofauti na timu zingine kama Namungo, Ruvu Shooting nkKwann wakati ni mojya time zenye uwezo kifedha!?
Nadhani shida sio udhamini.. iliigubika nyota ya premier...Mashabiki wengi wa Simba tuliishia kushabikia ilala....
( kulikuwa na wachezaji wengi wa simba).
Ilikufa nadhani tatizo ni wadhamini.
Tunakuza Mpira [emoji16][emoji16][emoji16]Azam kuna wachezaji watatu wamewasimamisha kuchezea timu yao kisa utovu wa nidhamu halafu ni wa wachezaji muhimu kabisa
Mudathir Yahya
Aboubakary Salum
Aggrey salum
ukikaa ukifikiria ,nikwel simba ma yanga zinaharbu mpra wa bongo.Tunakuza Mpira [emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati wachezaji na wanazi wa Simba na Yanga ndio wazee wa sabotage kwenye Mpira wa Tanzania...
Yaani timu mtahangaika kuipeleka ligi kuu, ikifika tu wanakuja Hawa jamaa, na sijui influence huwa inatokea wapi.. wakiingia tu they will run the team to ground...
Fixing matches for the gain ya usimba na uyanga... Premier ni maigizo matupu na ujinga kwa ukuaji wa soka letu
Toka watushushie kahama united sitaki tena ushabiki wa Mpira wetu.. wakitaka warejeshe taifa Cup... that...am all for it.ukikaa ukifikiria ,nikwel simba ma yanga zinaharbu mpra wa bongo.
Nope , kabla ya kuwatoa wasomali kwenye shirikisho walihidiwa us dollars 10,000(team nzima)imagine kwa team nzima yaani milioni 23 tu...sasa hela ilivyotoka viongozi wakawa wanataka wao na benchi la ufundi wawepo kwenye mgao ila Agrrey, Sure boy na Mudathir wakakaza kukataa wakasema hela yenyewe ndogo ni ya wachezaji tu SO WAKALA HIYO ADHABUTunakuza Mpira [emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati wachezaji na wanazi wa Simba na Yanga ndio wazee wa sabotage kwenye Mpira wa Tanzania...
Yaani timu mtahangaika kuipeleka ligi kuu, ikifika tu wanakuja Hawa jamaa, na sijui influence huwa inatokea wapi.. wakiingia tu they will run the team to ground...
Fixing matches for the gain ya usimba na uyanga... Premier ni maigizo matupu na ujinga kwa ukuaji wa soka letu
WAMEKUNJIANANope , kabla ya kuwatoa wasomali kwenye shirikisho walihidiwa us dollars 10,000(team nzima)imagine kwa team nzima yaani milioni 23 tu...sasa hela ilivyotoka viongozi wakawa wanataka wao na benchi la ufundi wawepo kwenye mgao ila Agrrey, Sure boy na Mudathir wakakaza kukataa wakasema hela yenyewe ndogo ni ya wachezaji tu SO WAKALA HIYO ADHABU
aibu sana , simba walikuala ma bonus ya kufa mtu champions league hawa wanapewa milioni 23 kugawana team nzima bado hapo kuna viongozi mate yanawatoka tenaWAMEKUNJIANA
HATARI NA ROBO
Huu mpira hauwezi kwenda mpaka timu ziwe huru kutoka kwa magaidi ya mpira..kikundi cha madalali wachache pale kariakoo.aibu sana , simba walikuala ma bonus ya kufa mtu champions league hawa wanapewa milioni 23 kugawana team nzima bado hapo kuna viongozi mate yanawatoka tena
Shida viongozi wa club nyingi Tanzania wanatoka kwenye kaclub kadogo ka usimba na uyanga... Sitashangaa Hata hapo azam utawakuta ..Tunaweza kulaumu au kuongea mengi lkn kubwa zaid ni usajili wao wanaofanya ,na ubora wa simba au yanga nao unachangia mfano azam anaweza kusajili sawa sawa akaona apa safi tatzo linakuja simba au yanga na yeye unakuta amesajili vzur zaid ya uyo azam mfano mzur mwaka huu azam amesajili wachezaji wengi tu lkn bado anakuta ana kingiki cha yanga so ata kama simba ataukosa ubingwa msimu azam hawez kuupata utaenda yanga
Hao wala sio kosa lao hilo....Tunakuza Mpira [emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati wachezaji na wanazi wa Simba na Yanga ndio wazee wa sabotage kwenye Mpira wa Tanzania...
Yaani timu mtahangaika kuipeleka ligi kuu, ikifika tu wanakuja Hawa jamaa, na sijui influence huwa inatokea wapi.. wakiingia tu they will run the team to ground...
Fixing matches for the gain ya usimba na uyanga... Premier ni maigizo matupu na ujinga kwa ukuaji wa soka letu
Taifa cup naimiss sana, i was too young but i loved it, through radio Tanzania but u kno what awesome to recall the Big man Jim Mored, Tiger FC ya Bahati Mwaipopo Kitasa.Ivi taifa cup inayo chezwa wiki tatu utafanisha na league kweli!!! Madhumuni ya taifa cup ni kuweka platform ya wachezaji wasiofahamika kutokea Ligi daraja lanne, wachezaji wa mashuleni na vyuoni walio itwa timu za mkoa kuonekana. Na kwa watendaji wampira waliopo Sasa ukiweka Taifa cup Ligi itaisha mwezi wa 12 Mwakani
Yaani matatizo yanakuwa makubwa mkiwa na udhamini... Na sio mkiw hakuna udhamini!?Hao wala sio kosa lao hilo....
Ni maswala ya kifedha.
Kumetokea mgogoro wa kugombania dola elfu kumi kayi ya wachezaji na benchinla ufundi,sasa wachezaji wanegoma na hivi karibuni watafukuzwa wachezaji 3Pamoja na uwekezaji mkubwa unaofanywa kuanzia kwenye usajili,maslahi ya wachezaji na hata miundombinu lakini bado wawekezaji na mashabiki hawapati kile kitu wanachotarajia kutoka Kwa Timu Yao , Kwa uwekezaji unaofanywa licha ya idadi ndogo ya mashabiki ukilinganisha na wale wakubwa wawili pale kariakoo lakini azam ilibidi awe anashindania na kushinda mataji , mwaka huu pamoja na usajili wote alioufanya lakini bado hajapata matokeo katika michezo miwili.
Unakaa unaangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja pale Azam unaona wapo vizuri , bila kusahau hata program Yao ya vijana imekuza na kulea vijana wengi kimpira mfano metacha mnata,idi kipwagile na wengine wengi Tu lakini bado matokeo Yao yanasumbua na hawashindi mataji ya maana . Je Tatizo ni nini ?
Ukiangalia sajili zao unasema eeh kwel hii ni timu lakini bado hawakupi kilicho Bora uwanjani.
Nadhan wameshindwa kusoma vema alichofanya mamelodi sundown pale bondeni Kwa kuweza kuchomoza na kushinda mataji mbele ya mahasimu wa kihistoria wa pale Soweto Kaizer chiefs na Orlando pirates .
Lakini wapo wanasema kuwa Azam kuuwa Ile project ya kina Shomari, nyoni Kwa kuruhusu wachezaji wake wengi kuondoka pengine ndo imewaathiri , ukiangalia Kwa jicho Pana utaona wachezaji wao wengi walioachwa wameenda kuwa chachu ya mafanikio ya Simba Kwa miaka minne mfululizo.
TUJIULIZE je Tatizo ni nini Kwa Timu yenye uwekezaji mkubwa vile inaboronga ??
Au je mpira kwao si pesa Tu kuna vingine ??
Azam Ni timu isiyo na presha yoyote kutoka nje uwanja km ilivyo kwa Simba na Misukule SCPamoja na uwekezaji mkubwa unaofanywa kuanzia kwenye usajili,maslahi ya wachezaji na hata miundombinu lakini bado wawekezaji na mashabiki hawapati kile kitu wanachotarajia kutoka Kwa Timu Yao , Kwa uwekezaji unaofanywa licha ya idadi ndogo ya mashabiki ukilinganisha na wale wakubwa wawili pale kariakoo lakini azam ilibidi awe anashindania na kushinda mataji , mwaka huu pamoja na usajili wote alioufanya lakini bado hajapata matokeo katika michezo miwili.
Unakaa unaangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja pale Azam unaona wapo vizuri , bila kusahau hata program Yao ya vijana imekuza na kulea vijana wengi kimpira mfano metacha mnata,idi kipwagile na wengine wengi Tu lakini bado matokeo Yao yanasumbua na hawashindi mataji ya maana . Je Tatizo ni nini ?
Ukiangalia sajili zao unasema eeh kwel hii ni timu lakini bado hawakupi kilicho Bora uwanjani.
Nadhan wameshindwa kusoma vema alichofanya mamelodi sundown pale bondeni Kwa kuweza kuchomoza na kushinda mataji mbele ya mahasimu wa kihistoria wa pale Soweto Kaizer chiefs na Orlando pirates .
Lakini wapo wanasema kuwa Azam kuuwa Ile project ya kina Shomari, nyoni Kwa kuruhusu wachezaji wake wengi kuondoka pengine ndo imewaathiri , ukiangalia Kwa jicho Pana utaona wachezaji wao wengi walioachwa wameenda kuwa chachu ya mafanikio ya Simba Kwa miaka minne mfululizo.
TUJIULIZE je Tatizo ni nini Kwa Timu yenye uwekezaji mkubwa vile inaboronga ??
Au je mpira kwao si pesa Tu kuna vingine ??