VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Kusajili wachezaji wzuri unahitaji kocha mzuri, kocha. Kuonesha uzuri anahitaji nidhamu ya Mfumo wa utawala na nafasi ya kutekeleza majukumu yake.
Kumbe ni halali kusimamishwaNope , kabla ya kuwatoa wasomali kwenye shirikisho walihidiwa us dollars 10,000(team nzima)imagine kwa team nzima yaani milioni 23 tu...sasa hela ilivyotoka viongozi wakawa wanataka wao na benchi la ufundi wawepo kwenye mgao ila Agrrey, Sure boy na Mudathir wakakaza kukataa wakasema hela yenyewe ndogo ni ya wachezaji tu SO WAKALA HIYO ADHABU