ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Ifike mahali sasa tuseme inatosha inashindikana vipi kutoa kibali cha uraia wa nchi mbili, katika hali ya kawaida tu kitu ambacho kinaumiza mno.
Naomba sasa wanaharakati wenzangu kupigania hili, tuna kesi nyingi juu ya hili na serikali na baadhi ya mihimili inalijua hili. Ni majibu tu ndio yanatakiwa.
Kama kuna anaeweza kupush hii kitu iendelee mbele please naomba tusaidiane.
Naomba sasa wanaharakati wenzangu kupigania hili, tuna kesi nyingi juu ya hili na serikali na baadhi ya mihimili inalijua hili. Ni majibu tu ndio yanatakiwa.
Kama kuna anaeweza kupush hii kitu iendelee mbele please naomba tusaidiane.