Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
1. Lengo la kukabidhiwa dola sio kufanya maisha yetu kuwa magumu kwa makusudi.
2. Hii nchi ni yetu sote, kuwa katika nafasi mlizopo ni kwa mchango mkubwa wa raia ambao mmeamua kuwafanya wanyonge makusudi.
Kweli muamue tu kuvuruga mitandao ya simu kwa kuwa mmejiskia tu kuumiza raia? Raisi wetu Mama Samia naamini una uelewa wa kutosha juu ya maisha kwa ujumla.
Mtandao ni kitu essential kwa maisha ya raia wako na ni sehemu pekee ambako tunapata mambo mengi ikiwamo habari, elimu na burudani.
Kitu kilichofanyika leo hakipendezi duniani wala mbinguni tuoneane huruma jamani maana wengine hujipatia riziki kupitia mauzo ya bidhaa mitandaoni. Ghafla tunapandishiana gharama kwa bei za kukomoana.
Haipendezi na mambo kama haya ndio hupelekea watu kujenga chuki na serikali iliopo madarakani bila sababu za msingi.
2. Hii nchi ni yetu sote, kuwa katika nafasi mlizopo ni kwa mchango mkubwa wa raia ambao mmeamua kuwafanya wanyonge makusudi.
Kweli muamue tu kuvuruga mitandao ya simu kwa kuwa mmejiskia tu kuumiza raia? Raisi wetu Mama Samia naamini una uelewa wa kutosha juu ya maisha kwa ujumla.
Mtandao ni kitu essential kwa maisha ya raia wako na ni sehemu pekee ambako tunapata mambo mengi ikiwamo habari, elimu na burudani.
Kitu kilichofanyika leo hakipendezi duniani wala mbinguni tuoneane huruma jamani maana wengine hujipatia riziki kupitia mauzo ya bidhaa mitandaoni. Ghafla tunapandishiana gharama kwa bei za kukomoana.
Haipendezi na mambo kama haya ndio hupelekea watu kujenga chuki na serikali iliopo madarakani bila sababu za msingi.