Mkuu langu ni kueleza burudani kali anazozitoa huyu mrembo aliyepo kwenye hii tasnia iliyojaa vijembe sana huku tukiendekeza ushabiki wa hovyo hovyo wa mautimu wcb mara litimu alikiba mara tim konde huku kukiwa na wasanii wanaoonekana kuwakata fimbo hao wazee wa promo za kuforceHembu niambie ni ujumbe gani Maua Sama alikusudia kuutuma kwenye Iokote au Niteke?
Halafu kwanini Maua Sama na yeye asipigiwe promo za ku-force mkuu? Huu uzi umemfungulia Maua Sama lakini nimeshangaa umem-tag Zuchu.
Ni kweli Maua Sama anajua sana kutoa burudani ila siyo best female musician, hayupo hata karibu na hiyo level. Muziki wake hauna impact kwa jamii ukitoa burudani.mkuu langu ni kueleza burudani kali anazozitoa huyu mrembo aliyepo kwenye hii tasnia iliyojaa vijembe sana huku tukiendekeza ushabiki wa hovyo hovyo wa mautimu wcb mara litimu alikiba mara tim konde huku kukiwa na wasanii wanaoonekana kuwakata fimbo hao wazee wa promo za kuforce
Yah ni mkali sana sana tu.Huyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce.
Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama
mi naamini hakuna cha utimu wala nini. Mbona nyimbo kama iokote,uno,dodo,gere, zina streams na views wengi tu huko mitandaoni???Huyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce.
Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama
Huyu mwEnye kuimba ngono ngono tuHuyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce.
Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama