IFM: All the best in Exams,BUT...

IFM: All the best in Exams,BUT...

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Nawatakia wanafunzi wenzangu wa IFM ,maandalizi,na mafanikio mema ktk mithahan inayoanza kesho j3.

Cha muhimu ni kukomaa na ulicho nacho kichwani,other materials ni hatari saaaaana kama mnavyo jua IFM ilivyo, haisubiri hata jua likazama cku hiyohiyo una ambiwa kwaheri.
Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom