Ifm waanza kutoa admission letters and joining instructions

Joined
Jul 20, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Kwa wale waliochaguliwa kujiunga na chuo cha usimamizi wa fedha(IFM) n kwamba admission letters na joining instructions zmeshaanza kutolewa chuon hapo tokea jana....kwa maelezo zaidi tembelea ofisi zao chuoni hapo kwa maana bado hawaziweka kwenye website yao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…