IGP anapaswa kujitathmini. Utekaji wa raia umezidi.

IGP anapaswa kujitathmini. Utekaji wa raia umezidi.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Watu wanapotea bila maelezo. Mpaka leo Deusdedit Soka hajulikani yuko wapi.
Abdul Nondo ametekwa juzi.
Watu wanauliza maswali hawapati majibu.
Juzi ametekwa mtu Mbezi,mfanyabiashara,muuza Bucha,Daudi,I forget his name,ameuawa, mwili wake umetupwa Bagamoyo.
Familia yake ikasema Polisi imewazuia kuongea na vuomby vya habari.
 
Watu wanapotea bila maelezo. Mpaka leo Deusdedit Soka hajulikani yuko wapi.
Abdul Nondo ametekwa juzi.
Watu wanauliza maswali hawapati majibu.
Juzi ametekwa mtu Mbezi,mfanyabiashara,muuza Bucha,Daudi,I forget his name,ameuawa, mwili wake umetupwa Bagamoyo.
Familia yake ikasema Polisi imewazuia kuongea na vuomby vya habari.
Hana hata habari.
 
Kamanda Wankyo Ramadhan Nyegesi
Aliomba Apewe Nafasi Ya IJP Ili Alinyooshe Geshi Lilipopinda
 
Watu wanapotea bila maelezo. Mpaka leo Deusdedit Soka hajulikani yuko wapi.
Abdul Nondo ametekwa juzi.
Watu wanauliza maswali hawapati majibu.
Juzi ametekwa mtu Mbezi,mfanyabiashara,muuza Bucha,Daudi,I forget his name,ameuawa, mwili wake umetupwa Bagamoyo.
Familia yake ikasema Polisi imewazuia kuongea na vuomby vya habari.
Ukiona ukimya wake ujue utekaji una baraka zake.
 
Watu wanapotea bila maelezo. Mpaka leo Deusdedit Soka hajulikani yuko wapi.
Abdul Nondo ametekwa juzi.
Watu wanauliza maswali hawapati majibu.
Juzi ametekwa mtu Mbezi,mfanyabiashara,muuza Bucha,Daudi,I forget his name,ameuawa, mwili wake umetupwa Bagamoyo.
Familia yake ikasema Polisi imewazuia kuongea na vuomby vya habari.
Hivi IGP ni nani siku hizi?
 
Back
Top Bottom