Ukiangalia ishu ya malisa na boniface utagundua tatizo sio polis bali kuna kigogo mmoja anawashurutisha wafanye haya wanauofanya kuwalaumu polisi ni kuwaonea.
Mzizi wa tatizo ni igp kuteuliwa na Rais anakua anafuata matakwa ya Rais na sio tu anafuata matwaka ya Rais bali anafuata matakwa ya chawa wa rais na viongozi wengine wa chama.
Na hii loophole inapelekea polisi kufanya mambo maovu na hakuna atakayewakemea sababu huyo wa kuwakemea ndo huyo huyo mda anawatumia kufanya kazi chafu.
Swali la kujiuliza kama mtu mwenye umaarufu kama boniface anafanyiwa vile vip kuhusu wewe na mimi ambao hatujulikan na nani.
Suluhisho la haya yote ni mchakato wa kuchagua igp usifanywe na rais hii itapelekea igp kutokuwa mtumwa wa wanasiasa kazi ya Rais iwe ni kumwapisha igp tofauti na hapo haya mambo ya hovyo na kuvunja sheria wazi wazi yataendelea.
Mzizi wa tatizo ni igp kuteuliwa na Rais anakua anafuata matakwa ya Rais na sio tu anafuata matwaka ya Rais bali anafuata matakwa ya chawa wa rais na viongozi wengine wa chama.
Na hii loophole inapelekea polisi kufanya mambo maovu na hakuna atakayewakemea sababu huyo wa kuwakemea ndo huyo huyo mda anawatumia kufanya kazi chafu.
Swali la kujiuliza kama mtu mwenye umaarufu kama boniface anafanyiwa vile vip kuhusu wewe na mimi ambao hatujulikan na nani.
Suluhisho la haya yote ni mchakato wa kuchagua igp usifanywe na rais hii itapelekea igp kutokuwa mtumwa wa wanasiasa kazi ya Rais iwe ni kumwapisha igp tofauti na hapo haya mambo ya hovyo na kuvunja sheria wazi wazi yataendelea.