IGP Kamilius Wambura fanya maamuzi magumu, jiuzulu

IGP Kamilius Wambura fanya maamuzi magumu, jiuzulu

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Ninajua si utamaduni wetu mtu kujihisi hatia na kuamua kujiuzulu. Dhana ya kujiuzulu kwa Tanzania bado inaonekana kama udhaifu. Kwamba hata kama unanuka basi unakomaa tu. Unafia kitini.

Lakini kwa IGP Wambura ni muda muafaka kabisa wa kujiuzulu wadhifa huo ili ubaki kuwa mtu safi. Inakuwaje missions zako za kipolisi zinafeli kwa kutenguliwa na mteuzi wako? Huoni aibu na fedheha kwamba huna weledi?

Twende sawa: ulipowakamsta Slaa na wenzake mkapanga kuwapa kesi ya uhaini. Ikabatilishwa, wakaachiwa baada ya Mama kuagiza kufanya hivyo. Hukujipanga? Leo umemkamata Lissu na wenzake, sitoshangaa ukimwachia maana hutopata kesi ya kumbambikia. Huoni hii ni aibu?

Je, hatimaye Lissu akihutubia Ngorongoro na wewe ukilinda mkutano wake hutoona haya? Baada ya Lissu umepanga kumkamata nani? Naye ataachiwa. Hivi unafanya homework kabla ya kuamua jambo? Ili uwe mweledi jiuzulu usichafuke zaidi.
 
IGP nadhani anatetea cheo chake kwa kufanya kinyume na matakwa ya Rais. Tundu lisu hakupaswa kumkamata kwa sababu hana madhara kabisa. Huyo anatafuta per diem na kuridhisha wafadhili. CCM ina mizizi. Kuna mwana mama mmoja mpenda haki nimeotwshwa ndiye IGP ajaye.
 
Ninajua si utamaduni wetu mtu kujihisi hatia na kuamua kujiuzulu. Dhana ya kujiuzulu kwa Tanzania bado inaonekana kama udhaifu. Kwamba hata kama unanuka basi unakomaa tu. Unafia kitini.

Lakini kwa IGP Wambura ni muda muafaka kabisa wa kujiuzulu wadhifa huo ili ubaki kuwa mtu safi. Inakuwaje missions zako za kipolisi zinafeli kwa kutenguliwa na mteuzi wako? Huoni aibu na fedheha kwamba huna weledi?

Twende sawa: ulipowakamsta Slaa na wenzake mkapanga kuwapa kesi ya uhaini. Ikabatilishwa, wakaachiwa baada ya Mama kuagiza kufanya hivyo. Hukujipanga? Leo umemkamata Lissu na wenzake, sitoshangaa ukimwachia maana hutopata kesi ya kumbambikia. Huoni hii ni aibu?

Je, hatimaye Lissu akihutubia Ngorongoro na wewe ukilinda mkutano wake hutoona haya? Baada ya Lissu umepanga kumkamata nani? Naye ataachiwa. Hivi unafanya homework kabla ya kuamua jambo? Ili uwe mweledi jiuzulu usichafuke zaidi.
Sioni IGP mpya anafanya kitu gani, yupo kama hayupo
 
IGP nadhani anatetea cheo chake kwa kufanya kinyume na matakwa ya Rais. Tundu lisu hakupaswa kumkamata kwa sababu hana madhara kabisa. Huyo anatafuta per diem na kuridhisha wafadhili. CCM ina mizizi. Kuna mwana mama mmoja mpenda haki nimeotwshwa ndiye IGP ajaye.
Unategemea chawa aongee nini zaidi ya vitu vya ajabu ili aweze kuingiza buku 7
 
Utamaduni wa kujiuzulu ni ngumu sana !!! Haswa pale TUMBO linapokuongoza katika kufanya maamuzi !!!
 
Tulia wewe uonapo vitu vya kiserikali vinatokea jua Kuna jambo unachotakiwa ni uhakiki fikra zako mara mbili!..
Kwanini huko kwengine hakukamatwa aje akamatwe leo..?
Upepo huvuma mashariki ila wengine wanauhamishia magharibi!
 
Ninajua si utamaduni wetu mtu kujihisi hatia na kuamua kujiuzulu. Dhana ya kujiuzulu kwa Tanzania bado inaonekana kama udhaifu. Kwamba hata kama unanuka basi unakomaa tu. Unafia kitini.

Lakini kwa IGP Wambura ni muda muafaka kabisa wa kujiuzulu wadhifa huo ili ubaki kuwa mtu safi. Inakuwaje missions zako za kipolisi zinafeli kwa kutenguliwa na mteuzi wako? Huoni aibu na fedheha kwamba huna weledi?

Twende sawa: ulipowakamsta Slaa na wenzake mkapanga kuwapa kesi ya uhaini. Ikabatilishwa, wakaachiwa baada ya Mama kuagiza kufanya hivyo. Hukujipanga? Leo umemkamata Lissu na wenzake, sitoshangaa ukimwachia maana hutopata kesi ya kumbambikia. Huoni hii ni aibu?

Je, hatimaye Lissu akihutubia Ngorongoro na wewe ukilinda mkutano wake hutoona haya? Baada ya Lissu umepanga kumkamata nani? Naye ataachiwa. Hivi unafanya homework kabla ya kuamua jambo? Ili uwe mweledi jiuzulu usichafuke zaidi.
Je, hatimaye Lissu akihutubia Ngorongoro na wewe ukilinda mkutano wake hutoona haya? Baada ya Lissu umepanga kumkamata nani? Naye ataachiwa. Hivi unafanya homework kabla ya kuamua jambo? Ili uwe mweledi jiuzulu usichafuke zaidi.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGP nadhani anatetea cheo chake kwa kufanya kinyume na matakwa ya Rais. Tundu lisu hakupaswa kumkamata kwa sababu hana madhara kabisa. Huyo anatafuta per diem na kuridhisha wafadhili. CCM ina mizizi. Kuna mwana mama mmoja mpenda haki nimeotwshwa ndiye IGP ajaye.
Umefuatilia kipindi cha Jana StarTv The Big Agenda? Ulimsikiliza yule Mzee alichokua anakiongea? Sasa ndio baada ya kile kipindi kilichofuata ndio hicho unachokiona wewe, fuatilia Mambo kwa utulivu Jeshi la POLISI sometimes wanafanya Mambo yao kwa mihemko na kukurupuka tu
 
Sitoshangaa Walinzi wa Lissu wakikutwa na silaha isiyosajiliwa hapa nchini na kitu kinachodhaniwa ni kilipuzi mkono wa kulia (bangili).
 
Tulia wewe uonapo vitu vya kiserikali vinatokea jua Kuna jambo unachotakiwa ni uhakiki fikra zako mara mbili!..
Kwanini huko kwengine hakukamatwa aje akamatwe leo..?
Upepo huvuma mashariki ila wengine wanauhamishia magharibi!
Tulia wewe shida ni ngorongoro, mmeyakanyaga, kwamba nyie ndo wenye akili

Ona sasa mnavyoendelea kuiweka serikali hii mnayojifanya mnaitii kwenye kuti kavu katika uso wa Dunia, kaeni kwa kutulia
 
Wambura ataondolewa kwasababu dhana ya reform haiwezi kabisa, ni wale polisi wenye utamaduni wa kipolisi ambao SSH anajaribu kuibadilisha.

SSH anahitaji mtu mwenye mtizamo chanya na uelewa mpana wa mambo kama aliokuwa nao IGP Mwema.
 
IGP nadhani anatetea cheo chake kwa kufanya kinyume na matakwa ya Rais. Tundu lisu hakupaswa kumkamata kwa sababu hana madhara kabisa. Huyo anatafuta per diem na kuridhisha wafadhili. CCM ina mizizi. Kuna mwana mama mmoja mpenda haki nimeotwshwa ndiye IGP ajaye.
Wewe utakuwa mfitini sana kwa mawifi zako, kwanza kwa gubu hili sidhani Kama umeolewa hata. Msambwanda hakuna kutwa kujichetua mitandaoni au unadhani hatukufahamu
 
kazi ya ukuu wa Jeshi la Polisi sio kazi ya kisiasa

yaani IGP ajiuzulu kwa shinikizo la Wahalifu?
 
Ninajua si utamaduni wetu mtu kujihisi hatia na kuamua kujiuzulu. Dhana ya kujiuzulu kwa Tanzania bado inaonekana kama udhaifu. Kwamba hata kama unanuka basi unakomaa tu. Unafia kitini.

Lakini kwa IGP Wambura ni muda muafaka kabisa wa kujiuzulu wadhifa huo ili ubaki kuwa mtu safi. Inakuwaje missions zako za kipolisi zinafeli kwa kutenguliwa na mteuzi wako? Huoni aibu na fedheha kwamba huna weledi?

Twende sawa: ulipowakamsta Slaa na wenzake mkapanga kuwapa kesi ya uhaini. Ikabatilishwa, wakaachiwa baada ya Mama kuagiza kufanya hivyo. Hukujipanga? Leo umemkamata Lissu na wenzake, sitoshangaa ukimwachia maana hutopata kesi ya kumbambikia. Huoni hii ni aibu?

Je, hatimaye Lissu akihutubia Ngorongoro na wewe ukilinda mkutano wake hutoona haya? Baada ya Lissu umepanga kumkamata nani? Naye ataachiwa. Hivi unafanya homework kabla ya kuamua jambo? Ili uwe mweledi jiuzulu usichafuke zaidi.
AKIJIUZULU HUYU MAGUFULI ATAFUFUKA
 
Back
Top Bottom