IGP Simon Sirro afanya ziara nchini Rwanda

Ujirani mwema ni mzuri,kikinuka Rwanda sasa hivi,basi sehemu salama ya kukimbilia kwa sasa ni Tanzania.
 
na cdf yuko huko nimeona.

wacha wapeane connection.
sema hawa jamaa wana uniform smart sana,sio za jeshi wala za maafisa wao wa polisi.
 
na cdf yuko huko nimeona.

wacha wapeane connection.
sema hawa jamaa wana uniform smart sana,sio za jeshi wala za maafisa wao wa polisi.

Hapa askari wetu tu ndio wanazingua ila uniform zipo vizuri sana

Nimeshamwonaga SACP mmoja kavaa suti ya afisa ile mikono mifupi shati lina mifuko minne mkanda unapita katikati ya tumbo ila chini kavaa kiatu cha ngozi ambacho sio cha kamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…