IGP Sirro aagizwa kuchunguza wahitimu wa polisi wanaotaka kupangiwa utrafiki na bandarini

Zile posho za bandarini ni nani hazitaki, fresh graduate wakiingia huko bandarani ndani ya miaka miwili (2) wamejenga na bado wako smna saving ya kutosha benki.

Ni askari gani anapenda kwenda kukamata waalifu, mama aache ufukunyuzi
 
Ridiculous; Samia hajui kwanini wanaomba kupangiwa huko?! Mtaani hatuoni polisi wanaowajibika kwa usalama wetu, lakini ukiendesha gari kila baada ya mita 200 unakutana na askari wa usalama barabarani wasiopungua watatu.
 
Aagize veta zote na vyuo vingine vichunguze utengenezaji solar panels zakisasa...
Tunataka mambo ya maana tusipotezeane muda kuchunguza ujinga ujinga na mikesi yakishwaini!!!
Wenzetu wako busy na kugundua chanjo za ukimwi,korona,teknolojia sisi rais anataka uchunguzi kwanini polisi wanataka u trafiki na bandari alafu tukiulizwa kwanini tuu maskini tunasema hatujui...
 
Ivi kumbe wakimaliza mafunzo kuna access ya kuomba kitengo unacho taka!, minilidhani wanapangiwa tu kulingana na mahitaji.
Wanapangiwa kulingana na mahitaji
Sema tu huwa Kuna lobbong kwa watoto wa wakubwakupangiwa idara hizo lakini pia kuna wanatoa rushwa kwa wakubwa ili wapangiwe huko
 
Yaani mpaka karne hii bado watu wanapangiwa vituo vya kazi kwa takwa la mtu?
Kwanini kusiwekwe software yenye uwazi itakayochakata majina automatically na kuwapangia vituo vya kazi?
 
Hotuba za rais ni nyepesi sana kama vile za mwananchi wa kawaida, idara ya usalama tunawaomba kwenye viongoz wa juu muwaidhnishe waliofaulu vzr mithan ya f4 hadi chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…