IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

IGP Sirro kazi imemshinda. Wankyo amesema ukweli kuwa anafaa.

Apewe hicho cheo tafadhali,
 
Wankyo ni kidume cha mbegu.... Igp hana hata chembe ya uwezo wa kuliongoza jeshi la polisi.... Safi sn kwa lithubutu na atapata haki yake ni swala la wakt tuuu...
 
Yeye anahamisha wenzie na Mama Sasa ampige chini huyo Siro
 
Sirro anaongoza kundi la unpopular RPCs akifuatiwa na Mahita.

Saidi Mwema anaongoza kundi la ma RPC waadilifu.
 
Kumekucha

Amemwaga hata ule ugali kiduchu aliokuwa nao

Chupa hazijawahi kumuacha kiongozi salama

Kuna mtu humu aliandika majeshi ya siku hizi yamekuwa kama magenge ya wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…