Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
😂😂😂😂Jamaa alichanganya Cha Tarime na ArushaHawa ndio wanao tuharibia sifa nzuri ya huu 🌿 mmea
Read IGP'sSirro anaongoza kundi la unpopular RPCs akifuatiwa na Mahita.
Saidi Mwema anaongoza kundi la ma RPC waadilifu.
Kuna kiongozi anapenda kuwa challenged kwenye nafasi yake? Mama Samia mwenyewe tu hadharani alisema anawatemesha uwaziri wale wote wanaowaza uraisi 2025Mapolisi hawana maana yani jamaa kutamani tu ateuliwe imekua nonmgwa, ndio ujue sasa watu wa aina ya sirro walivyo, ndiomaana madudu yooote ya polisi hataki kujiuzulu anakomaa tu, Mura wankyo Pore sana Muraaa huyo ndi ZiiRooooo bana
Alipata kusema "I wish I was IGP".Mmmmh, JPM aliwahi kuwa mkuu wa majeshi ya wapi mkuu?
Ajijenge kwa lipi labda kama kua IGP kungekua na upigaji kura.Huyu afande ana akili nyingi Sana, hakutaka kwenda Kagera. Alijua akim- provoc Mkuu wake, obviously atapelekwa makao makuu. Pale ndo atajijenga na Kisha ndoto zake zitatimia.
Hivi mnapajua Kagera?! Waache waende hao waliotoka Rukwa labda watapata nafuu.
Mawazo binafsi.
Kwa jinsi ulivyo na ulivoandika hufai kuwa staff wa jf umedhihirisha uwezo wako Mdogo wa kutafakari na kung'amua Mambo pia ujuhi umuhimu wa kukaa kimya ili usionekane mjingaSirro acha uoga, hapo utang'oka tu
Kiti kitamuSirro kaonyesha udhaifu mkubwa mno.
Safi Sana, akae benchi ajifunze nidhamuWas waiting for this.
Nenda Instagram imejaa TeleeIngependeza ungetuwekea kauli ya huyo Bwn. Wankyo aliyoitoa hapo jana!
Yaah angeonesha ukomavu kwenye hili japo Jamaa alisema huo upuuzi kazingua sana ni kuonesha namna gani ana uchu na madaraka pia na Kutaka kumwambia Rais Siroo hatoshiiiiHilo kosa kubwa sana la kiufundi dawa ilikua kumpotezea. ...,
Siyo tu kusoma magazeti, anaenda kuonyeshwa rangi zote na kufanyiwa exit strategy. Wankyo na siro wote wanatoka Mara... vita ni vita muraAnaenda kusoma magazeti
Kusoma magazeti ni matumizi mabaya ya kodi bora apangiwe akalinde hata bank na sio kukaa bure ofisini.Haya sasa anaenda masijala kupanga mafile na kusoma magazeti.