1. Kujaribu kumkenehi waziri wa Afya ambaye anahimiza chanjo
2. Mbowe kushikwa
3. Mbatia na NCCR kuzuiwa kufanya mkutano bila sababu hata waziri anashangaa. Hii ni pamoja na Raisi kuagiza
Sirro inawezekana anatumika na lile group la wanaotaka Raisi Samia asifanikiwe.
Kama Raisi usijivutevute badilisha huyu haraka sana
2. Mbowe kushikwa
3. Mbatia na NCCR kuzuiwa kufanya mkutano bila sababu hata waziri anashangaa. Hii ni pamoja na Raisi kuagiza
Sirro inawezekana anatumika na lile group la wanaotaka Raisi Samia asifanikiwe.
Kama Raisi usijivutevute badilisha huyu haraka sana